Anataka kuvujisha video ya ngono

Anataka kuvujisha video ya ngono

Pia akumbuke kama jamaa alijitoa nafsi kumpa mkewe na kumlipia lodge, basi pia ajiandae kisaikolojia mana iwapo atavujisha kuna posibility ya kulipia kwa MARINDA
Avujishe tu...ila ajiandae na yatakayofuata...labda hiyo 15m atailipa yeye....au anaweza kulipia kwa damu yake. Mambo sio rahisi kama anavyodhani.
 
Mwambie habari zilizovuja zinasema kibosile pia amepanga kuvisha shanga atembezewe mshedede na si pack 6. Hiyo aliyopewa ilijuwa episode 1 namba 2 inakuja na hizo video clip atapigwa kwenye series ya 6 atapokea kitita cha 25mil asikadirie kidogo
 
Jamaa yangu aliombwa na jamaa moja mwenye pesa zake awe anamsaidia kumgegeda mke wake, sasa yule jamaa akawa alipiwa hotel na yule kibosile jamaa analaa na mke wa kibosile, ilikuwa ni mara kwa mara wanafanya hiyo michezo yao.

Saaa jamaa yangu amekuja analalamika anasema kuwa jamaa kamuahidi vitu vingi lkn hatimizi kitendo kilichopelekea jamaa kuchukua vidro kwa sili ili aombe kulipwa na kama asipolipwa aisambaze.

Mimi nimemshauri asiisambaze maana ikitokea akaivujisha hiyo ni kesi japo jamaa anasema anataka alipwe 15ml ili asiivujishe.

Jamaa anaomba ushauri
Mwambie mm nimesema yy ni fala
 
Sababu hasa ya jamaa kumtoa sadaka mke wake ni nini?
Jamaa anatimiza masharti ya mganga wake?
Jamaa anataka mtoto na hana uwezo wa kuzalisha au totally haisimami?
 
Hajui aliyekuwa anamwambia ivyo ndiye aliyetunga Sheria ya mitandao
 
Huyo Jamaa mwenye Mke ana matatizo gani hadi kufikia hatua hiyo?
 
Waswahili wanasema ameibiwa nyota kwa kupenda mteremko...
 
Back
Top Bottom