PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,517
- 13,259
Akikujibu naomba ni tag mkuu?Kwanini huyo kibosile alimwambia jamaa awe anamkaza mkewe? Kisa cha kutoa kibali mkewe aliwe hujatuambia mkuu!
Akikujibu naomba ni tag mkuu?Kwanini huyo kibosile alimwambia jamaa awe anamkaza mkewe? Kisa cha kutoa kibali mkewe aliwe hujatuambia mkuu!
Avujishe tu...ila ajiandae na yatakayofuata...labda hiyo 15m atailipa yeye....au anaweza kulipia kwa damu yake. Mambo sio rahisi kama anavyodhani.
Alie kwambia uchi una thamani nani...Wanaume wa siku hizi hatari jamani mpaka shetani anawaogopa, uchi upewe na hela tena ? Halafu anapanga na kiwango et 15M,maviiiiii.
Mwambie mm nimesema yy ni falaJamaa yangu aliombwa na jamaa moja mwenye pesa zake awe anamsaidia kumgegeda mke wake, sasa yule jamaa akawa alipiwa hotel na yule kibosile jamaa analaa na mke wa kibosile, ilikuwa ni mara kwa mara wanafanya hiyo michezo yao.
Saaa jamaa yangu amekuja analalamika anasema kuwa jamaa kamuahidi vitu vingi lkn hatimizi kitendo kilichopelekea jamaa kuchukua vidro kwa sili ili aombe kulipwa na kama asipolipwa aisambaze.
Mimi nimemshauri asiisambaze maana ikitokea akaivujisha hiyo ni kesi japo jamaa anasema anataka alipwe 15ml ili asiivujishe.
Jamaa anaomba ushauri
Akilijibu hili swali nitarudi kutoa maoni yangu.Kwanini huyo kibosile alimwambia jamaa awe anamkaza mkewe? Kisa cha kutoa kibali mkewe aliwe hujatuambia mkuu!