Anataka kuvujisha video ya ngono

Anataka kuvujisha video ya ngono

kigogo1ivi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
539
Reaction score
343
Jamaa yangu aliombwa na jamaa moja mwenye pesa zake awe anamsaidia kumgegeda mke wake, sasa yule jamaa akawa alipiwa hotel na yule kibosile jamaa analaa na mke wa kibosile, ilikuwa ni mara kwa mara wanafanya hiyo michezo yao.

Saaa jamaa yangu amekuja analalamika anasema kuwa jamaa kamuahidi vitu vingi lkn hatimizi kitendo kilichopelekea jamaa kuchukua vidro kwa sili ili aombe kulipwa na kama asipolipwa aisambaze.

Mimi nimemshauri asiisambaze maana ikitokea akaivujisha hiyo ni kesi japo jamaa anasema anataka alipwe 15ml ili asiivujishe.

Jamaa anaomba ushauri
 
Mwambie apime kwanza ukimwi alafu kingine mwambie jela ni kutamu sana yeye avujishe tu ila machozi ya mama yake akiwa anamtembelea jela yatamuangamiza
 
Kama anatamaa hizo na hakusikilizi juu ya yeye kuvunja sheria au kama ni wewe hapo unahasira na huyo mzee.. acha ya ushauri.. akiingia kukaa jela ndio atakukumbuka.

Siku nyingine mwambie ajithamini alipwe kabla ya matendo.. naona umesaidia masharti ya majamboz yao eeeeeh..
 
Jamaa yangu aliombwa na jamaa moja mwenye pesa zake awe anamsaidia kumgegeda mke wake, sasa yule jamaa akawa alipiwa hotel na yule kibosile jamaa analaa na mke wa kibosile, ilikuwa ni mara kwa mara wanafanya hiyo michezo yao.

Saaa jamaa yangu amekuja analalamika anasema kuwa jamaa kamuahidi vitu vingi lkn hatimizi kitendo kilichopelekea jamaa kuchukua vidro kwa sili ili aombe kulipwa na kama asipolipwa aisambaze.

Mimi nimemshauri asiisambaze maana ikitokea akaivujisha hiyo ni kesi japo jamaa anasema anataka alipwe 15ml ili asiivujishe.

Jamaa anaomba ushauri
Kwanini huyo kibosile alimwambia jamaa awe anamkaza mkewe? Kisa cha kutoa kibali mkewe aliwe hujatuambia mkuu!
 
Hebu subiri kwanza kidogo. Kwani ilikuaje?
 
Back
Top Bottom