Anataka kuterminate ujauzito.

Si waona alafu washauri azae?
Atoe tu hakuna mtu anapenda lea watoto peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
akatoe tu
siku hizi kuna wataalam wazuri tu
vijogoo vya siku hizi havilei watoto na tena watamtelekeza haswa
inategemea na umri, uzuri na sura aliyonayo km ni over 35 ndio ujauzito unafikia ukingoni
km yupo 25yrs and above atapata mwenza tu
Asante
Hebu nitajie wataalamu hao walipo nimshauri ,atoe fasta kabla haijakuwa kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tell her to avoid abortion please, maana yamungu nimengi mkuu, we muelezetu madhara ya abortion ikiwemo kupoteza uwezo wa kuzaa kwa mara nyingine tena:

Istoshe mtu azaliwapo huzaliwa na bahati yake, huwezi jua huyo mtoto akikua/ akizaliwa atakua nani ndani ya jamii yetu,

Plz over plz mshauri aache, kama anao uwezo wa kuilea mimba jamani kwanin aitoe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto ni baraka Kama anauwezo wa kipato wa kulea azae. Hizi kelele za Jf za single parents huwaga naziona changamsha genge kwangu huwa hazina uhalisia hata robo kwenye maisha yetu halisi ya kitaa.
 
Mbona hamtoagi kauli hizo mkiwa mnawatukana na kuwadhalilisha singo maza humu jukwaan?ushahid wa hayo umo humu lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si waona alafu washauri azae?
Atoe tu hakuna mtu anapenda lea watoto peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
The thing is, umesharuhusu mimba (negligence), huna budi kulea. Japo najua wengi huwa wanatoa mimba, lakini usifanye reference na wao...

Kwa sababu umesema uwezo wa kulea watoto upo, achana na kelele za watu, eti kuwa single mother kutakuumiza etc. Lea wanao, watakuwa faraja yako uzeeni.
 
Mkuu binafsi sipendelei utoaji wa mimba kama anao huwezo azae tu asitoe mimba suala la single maza sio inshu coz mambo ya kutoa mimba ni mabaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hamtoagi kauli hizo mkiwa mnawatukana na kuwadhalilisha singo maza humu jukwaan?ushahid wa hayo umo humu lol

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu mbonaa huelewi!!! We endeleenitu kushabikia dhambi,

lakini nyongeza ya hapo kwa bahati nzuri hakuna uzi wowte hapa jf ambako niliwahi kuwa beza single mom sasa waweza ku prof hicho ulicho kisema labda, tofaut na kuni attack labda??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha
Wanaume wa jf bwana
Wameona shahawa za mwenzao zinaenda tumbuliwa wanatoa ushauri wa busala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikishamsikia mwanamke anasema amemshauri mwenzake atoe mimba basi picture inayojengeka akilini mwangu ni kwamba ni malaya mmoja anayejiuza huko mitaani!!!

How akatoe mimba,alipokuwa anatapanywa mapaja alichokitegemea ninini?na wewe kama mama yako angekutoa ungepata huo wasaa wa kuja kumshauri mwenzako hivi?

Pathetic!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…