The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
Iko hivi binti ana mtoto mzuri tu wa kiume 4 years now. Ni single parent na amekuwa akilea that boy alone since mimba till today. Baba mtoto alitelekeza mimba hadi mtoto,ingawa saivi anadai mtoto,ambaye kiuhalisia hawezi pewa.(kwa mujibu wa muhusika)
Point ya thread ni kuwa bidada amepata ujauzito mwingine wa mwanaume mwingine,mwanaume hajui kama bidada amenasa.Na kutokana na experience mbaya ya baba mtoto wake wa mwanzo,katika kuonyesha ushirikiano wa malezi,bibie ameamua kutoa.Uwezo wa kulea alone anao ila anasema alipitia experience mbaya sana ambaye imemwathiri kihisia na anahofu yasije jirudia.
Hivyo anaomba ushauri;
Je amwambie mhusika?
Au asimwambie na aitoe tu kimya kimya kuepuka drama kama za awali na first baby dad plus maumivu ya kipychology alopitia before?
Binafsi nimemshauri atoe mostly kutokana na lugha za kudhalilisha humu jf kwa single parents na jinsi jamii inavyowanyanyapaa single female parents.
NB;anasema alikuwa anatumia p2 kuzuia mimba toka ameanza mahusiano na huyu Mwenye mimba wa pili about a year ago,its just this time around kanasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Point ya thread ni kuwa bidada amepata ujauzito mwingine wa mwanaume mwingine,mwanaume hajui kama bidada amenasa.Na kutokana na experience mbaya ya baba mtoto wake wa mwanzo,katika kuonyesha ushirikiano wa malezi,bibie ameamua kutoa.Uwezo wa kulea alone anao ila anasema alipitia experience mbaya sana ambaye imemwathiri kihisia na anahofu yasije jirudia.
Hivyo anaomba ushauri;
Je amwambie mhusika?
Au asimwambie na aitoe tu kimya kimya kuepuka drama kama za awali na first baby dad plus maumivu ya kipychology alopitia before?
Binafsi nimemshauri atoe mostly kutokana na lugha za kudhalilisha humu jf kwa single parents na jinsi jamii inavyowanyanyapaa single female parents.
NB;anasema alikuwa anatumia p2 kuzuia mimba toka ameanza mahusiano na huyu Mwenye mimba wa pili about a year ago,its just this time around kanasa.
Sent using Jamii Forums mobile app