SEROTHERAPY
Senior Member
- Oct 24, 2014
- 199
- 26
Hahahaha akachukue masters tena!!! Daahh aombe diploma kwenye chuo kisicho na compettion lasivyoo private health institute ya ada mill 2 kwa semester moja itamnyemeleaaIPO vizuri na chuo kiruz kwa hiyo kitu ni kcmc sema mmnh kwa hiyo performance kwa ngaz ya degree watakuzengua ila kuna course nyingi tu za afya zinazolipa kama dental therapy na udaktari wenyewe lakini hata kwa dental therapy mkuu sikuhizi vyuo vingi wanachukua wanafunzi maximum 15 then umekaa home sanaaa mkuu ushauri ni kwamba hiyo BBA kama ulisomea degree kachue masters yake tu