Tangaza dau tukwambie yupo wapi, kama bure bure mtafute mwenyewe, hata nasibu usimuulize maana nae hafanyi kazi za bureMsaada kwa aliemuona
Huyu nani?
"Nlikuwepo":bolt:
Aisee,basi wabunge wanafaidi sana kwa kumpata spika kama huyu..laiti kama angekuwa yupo kwenye benchi la ufundi la chelsea,nadhani John Terry angemaliza yake.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano