Cku nyingine unatakiwa kufunguka vyema ili nac wadau tukuelewe!,unaposema mwl wa computer!,unamaanisha nn?,je ni mwalimu wake computer? au mwl mwenye ujuzi wa computer au mwl atakaye fundisha somo la computer au mwl anayefundisha computer ?!,yani nashindwa kukuelewa kijana!