Onesmo Kyauke
Member
- Feb 9, 2015
- 67
- 119
Tunatafuta mtu aliyesomea ufagaji na hasa ufagaji wa nguruwe akafanye kazi katika shamba kubwa la nguruwe.
Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani.
Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518
Sifa kubwa awe na diploma ya mifugo na awe tayari kufanya kazi Mkoa wa Pwani.
Kwa mawasiliano piga simu 0715 744518