Anatafutwa! : Cornelius Maganga Malewa

Anatafutwa! : Cornelius Maganga Malewa

BabaKasheshe

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
211
Reaction score
45
Salama wana JF. Jamani ninamtafuta ndugu anaitwa CorneliusMaganga Malewa , yeyote mwenye kujua namna ya kumpata au kuwasiliana naetafadhari nijuze.

Asanteni.

 
Hehehehhehehe!jamaaa huyu nilimuona posta pale kasimama na bunduki round baut nazani yupo kwenye lindo subili akimkabidhi shift mzizimkavu atakuja...humu
 
jaribu kufanya mawasiliano na nduguze au marafiki zake wa karibu,ila kama unamtafuta kwa ubaya,unaweza usimpate. BabaKasheshe
 
Last edited by a moderator:
Salama wana JF. Jamani ninamtafuta ndugu anaitwa CorneliusMaganga Malewa , yeyote mwenye kujua namna ya kumpata au kuwasiliana naetafadhari nijuze.

Asanteni.


Yupo mwanza mwananchi communication.Ila nilisikia pia alitoka lakini bado yupo mwanza adi sasa
 
Salama ndugu zangu....nawashukuru nyote kwa mawazo na ushauri mzuri kwa suala langu, asanteni sana, nimepata mails kwa inbox za wanajamvi mbalimbali, asanteni sana. kwa sasa bado sijaweza kumpata ila nimepata taarifa kua yuko Musoma, so kwa sasa nafatilia huko na nategemea kutoa tangazo gazetini. Muhusika ni huyu katika attachment.
 

Attachments

Back
Top Bottom