Anatafuta mwanaume wa kumuoa

Anatafuta mwanaume wa kumuoa

chagga land

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
394
Reaction score
95
Ni msichana mwenye umri wa miaka 26 anafuta mwanaume wa kumuoa aliyetayari, yeye ni mweupe na mrefu wa wastani ni mnene wa wastani na ni mkristo.
 
Mbona huwa hamuweki na picha ili kusapoti maelezo
imagine hata matangazo let's ya magari ama kitu chochote
siku hizi ili kuvuta usikivu wa wasomaji kuna umuhimu wa kuambatanisha na picha
Hivyo tupia tu na picha bora hata isiwe na kichwa but the rest paonekane!
Ni ushauri tu!
Napita!
 
Mbona huwa hamuweki na picha ili kusapoti maelezo
imagine hata matangazo let's ya magari ama kitu chochote
siku hizi ili kuvuta usikivu wa wasomaji kuna umuhimu wa kuambatanisha na picha
Hivyo tupia tu na picha bora hata isiwe na kichwa but the rest paonekane!
Ni ushauri tu!
Napita!

Teh teh teh mambo ya kina tomasoo hayoo.. Lakini kweli bila hata kapicha mmhhh...
 
Wanaotaka picha wawekee kwenye pm isiwe tabu.
 
Heheeeee, humu atapata wenye tamaa za uzinzi tu, hakuna lolote.

Bora atafute, anakoishi, anakofanyia kazi, watu anaoshiriki nao katika shughuli za kijamii anaokutana nao anaosali nao. Hao ndio watu ambao wanamjua vizuri kitabia na wao huenda anawafahamu vzur tabia zao.
 
Mi nahitaji ni inbox nifanye maamuzi magumu piks tafadhali
 
Nitumie picha yake pm nifanye tathmin kwanza
 
Mwambie awe mpole mana jua bado la utosi au ni single mother?? Kama sio single mothers basi mabwana awaachie ambao jua linazama 30 yrs old mana wapo wengi umu
 
Mwambie awe mpole mana jua bado la utosi au ni single mother?? Kama sio single mothers basi mabwana awaachie ambao jua linazama 30 yrs old mana wapo wengi umu

mkuu ungebahatika kumuona,umri wake na umbile lake waweza sema anamiaka chini ya 18,hana mtoto labda mwanae wa kwanza wewe waweza kuwa baba yake
 
mimi naamini mke anapatkana popote, cha mcngi mpendane na kujuana tabia. kuna watu huonana Bar na kuwa wachumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom