KARIA
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 717
- 473
he!....jamani.......mbona mimi simuoni huyo mchumba......?
Kuna jamaa anauliza huyo anayetafuta mume ana hela?? yeye yuko tayari kuwa mariooo liwalo na liwe
Hela sio tatizo ila masharti ni, kupenda kubebwa, ukimkorofisha kichapo, burudani mpaka aamue yeye, ujue kazi zote za nyumbani maana huruhusiwi kufanya kazi nyingine zaidi ya kazi za nyumbani! Hapo vipi? Uko tayari?
Hela sio tatizo ila masharti ni, kupenda kubebwa, ukimkorofisha kichapo, burudani mpaka aamue yeye, ujue kazi zote za nyumbani maana huruhusiwi kufanya kazi nyingine zaidi ya kazi za nyumbani! Hapo vipi? Uko tayari?