Anahitaji au anatafuta!!! Kama anatafuta aendelee tu kutafuta na atapata mana kila shetani na mbuyu wake, hivyo hawezi kosa.
Labda awasaliane na mbuzi mzee ataweza kumsaidia kupata anayemfaa, naana mbuzi mzee anakuwaga na mambo yake fulani katika thread zake, hivyo huko huko anaweza kumsaidia.