vita kubwa
Member
- May 1, 2018
- 8
- 2
Ninaye Ndugu yangu ana miaka 26 Elimu yake ni kidato cha nne ni kijana mwenye Maadili sana Kwa kuwa ni mlokole
Kutokana na hali ngumu iliyopo kwa sasa anahitaji kazi yoyote ya kujikimu hata kama itakuwa Kuuza Chips,Duka,Pia ana utaalamu na Mambo ya ujenzi japo hana vyeti
kwa yeyote mwenye kazi yoyote Amsaidie ndugu yangu Kwa kuwa mm nimeshindwa kumsaidia kwa Sababu mm kwa Sasa sina kipato chochota
Msaada wako unahitajika
Kutokana na hali ngumu iliyopo kwa sasa anahitaji kazi yoyote ya kujikimu hata kama itakuwa Kuuza Chips,Duka,Pia ana utaalamu na Mambo ya ujenzi japo hana vyeti
kwa yeyote mwenye kazi yoyote Amsaidie ndugu yangu Kwa kuwa mm nimeshindwa kumsaidia kwa Sababu mm kwa Sasa sina kipato chochota
Msaada wako unahitajika