kikulacho...
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 321
- 224
Hahaha DED atakutafuta ukienda weweAu nije mie niwe napiga part time uwe unanipa hiyo laki, kama ye hataki
Hahaha DED atakutafuta ukienda weweAu nije mie niwe napiga part time uwe unanipa hiyo laki, kama ye hataki
Serious, wanaotafuta kazi humu huwa hawana shida na hizo kazi
Hapo kwenye bold ndio tatizo, vinginevyo kesho angeanza Lumumba. Pale kigezo ni uwezo tu wa kujitoa fahamuNina Dada yangu a natafuta Kazi yeyote ila isiwe ya kuushusha utu wake alisomea stationary n alifany Kazi kwa mwaka aliacha kwa sababu binafsi anaishi dar
2wasiliane kwa nmb
0654970372
Umeibuka tu ka nzi mxyuuuuAcha ujinga wewe, kuna watu wanautumia huu mtandao si kwa kutafuta umaarufu. Wewe ukikutana na mtu ameweka tangazo la kutafuta kazi halafu haeleweki basi mpotezee! Usichukue hatua ya kuwahukumu na wale ambao wanashida na hizo kazi kweli.
Umeibuka tu ka nzi mxyuuuu