Anata kujiwa sababu ni penzi

Anata kujiwa sababu ni penzi

Hafu nyie watu wa huko irak ayaaaaa siyo nyie wapemba vipi mbona wasumbufu ktk mambo hayooo acheni bwana tulia na mke wako sasa unataka kutwambia kwamba umemkomoa jamaa hapana umeongeza matatizo ktk maisha yako jipange kaka
 
Yaani wewe umefanya jitihada zote kumtenganisha mwenzio na mpenziwe.......... Then unakimbia pemba huku yeye akibaki peke yake we ukila raha na mamsapu wako.! Je ungekuwa ni wewe umetenganishwa na mkeo then yeye akasepa unge jisikiaje?

Ingekuwa ni mimi ningefanya juu chini nikutenganishe na mkeo then nasepa ili tuwe ngoma drool!
 
Back
Top Bottom