Tunajuaje kuwa hilo si kweli?
Kwanza, injili tatu za Sinoptiki (Mathayo, Marko na Luka) hazimtaji mwanafunzi huyu hata mara moja. Luka na Marko hawakuwa wanafunzi wa Yesu, lakini Mathayo alikuwa. Basi mbona yeye hakumtaja? Hata mara moja!
Pili, Yohana alikuwa mvuvi wa kawaida asiye na elimu kutoka kijijini Galilaya. Asingeweza kuandika injili yenye ufasaha mkubwa wa Kigiriki, ambayo hata imeguswa na falsafa ya Neo-Platonism.
Tatu, katika sura yake ya mwisho, mwandishi au waandishi waliashiria jambo, wakisema:
"Huyu ndiye mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye aliyeandika haya; nasi tunajua ushuhuda wake ni wa kweli." (Yohana 21:24)
Kama mwandishi alikuwa ni Yohana mwenyewe, kwa nini alitumia kiwakilishi cha kifalme, “SISI”?
Kwanza, injili tatu za Sinoptiki (Mathayo, Marko na Luka) hazimtaji mwanafunzi huyu hata mara moja. Luka na Marko hawakuwa wanafunzi wa Yesu, lakini Mathayo alikuwa. Basi mbona yeye hakumtaja? Hata mara moja!
Pili, Yohana alikuwa mvuvi wa kawaida asiye na elimu kutoka kijijini Galilaya. Asingeweza kuandika injili yenye ufasaha mkubwa wa Kigiriki, ambayo hata imeguswa na falsafa ya Neo-Platonism.
Tatu, katika sura yake ya mwisho, mwandishi au waandishi waliashiria jambo, wakisema:
"Huyu ndiye mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye aliyeandika haya; nasi tunajua ushuhuda wake ni wa kweli." (Yohana 21:24)
Kama mwandishi alikuwa ni Yohana mwenyewe, kwa nini alitumia kiwakilishi cha kifalme, “SISI”?