Anasema ananipenda: baada ya kurudi kutoka unyamwezini

Anasema ananipenda: baada ya kurudi kutoka unyamwezini

anataka kukuingiza mkenge huyo angalia tu usije ukarudi na story nyingine hapa
 
Hizi mbunye zitawaua! W we umeibanjua, wengine iwe nongwa!
Kuna daw[SUB][/SUB]da mmoja nilikua nampenda sana. Kwakweli amejaaliwa kiumbo!

Nakumbuka miaka michache iliyopita niliji-express kwake akanitolea nje! Nilijitahidi sana ila alinipotezea!

Nilikuja kusafiri kwenda mbele. Niliporudi, alipata taarifa akanitafuta. Katika maongezi alionyesha dalili za kutaka kuwa name katika mahusiano.

Baada ya muda alikolea sana ila nilimpotezea (nilizuga kumtest kama yupo seriaz)!

Kuna siku aliniambia "nilidhani umerudi sasa tuoane". Nilimuuliza "kwani nilikuahidi kukuoa? mbona ulishanikataa? unataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia nini?" Aliniuliza "usiwe na wasiwasi utaonja tu tukioana".

Kuna siku nilimwita nikamweleza sina mpango wa kuoana naye kwani ninamajukumu mengine ya kikazi.

Siku chache baadae aliniomba aje kunitembelea. Nilikubali. Alipokuja alinibembeleza sana na aliniomba hata kama sina nia naye basi nimridhishe japo mara moja tu. Aah, siunajua tena kajileta mwenyewe; "tulimaliza, akatulia".

Baada ya hapo aliendelea kunitumia meseji kwamba "ameipenda huduma yangu" na anaomba tuwe karibu zaidi (achilia mbali ndoa kwasasa kama nipo bize).

Kuna jamaa wamenitonya kwamba huyo mdada ni "chaote" ila nikimuuliza mwenyewe anakataa anasema "wanamsingizia" ila alishawahi kuwa na jamaa mmoja ambaye alipiga naye mechi moja tu!! Jamaa zangu wamenithibitishia kwamba mchuchu alikuwa hasemi hapana wakati nilipokuwa mbele.

Nifanyeje ili nimpotezee kabisaa kwani kila siku anataka tuonane mimi ndo namzingua!
 
Barasu Barasu Barasu kuonja onja kubaya sana!! usionje usionjee bora uoe
 
Kosa ni lako wewe kuendelea kum-entertain!Inaonekana hauna msimamo mpaka sasa wa kufuata, kwa maelezo yako inaonekana kama unampenda pia.
 
Kuna dada mmoja nilikua nampenda sana. Kwakweli amejaaliwa kiumbo!

Nakumbuka miaka michache iliyopita niliji-express kwake akanitolea nje! Nilijitahidi sana ila alinipotezea!

Nilikuja kusafiri kwenda mbele. Niliporudi, alipata taarifa akanitafuta. Katika maongezi alionyesha dalili za kutaka kuwa name katika mahusiano.

Baada ya muda alikolea sana ila nilimpotezea (nilizuga kumtest kama yupo seriaz)!

Kuna siku aliniambia "nilidhani umerudi sasa tuoane". Nilimuuliza "kwani nilikuahidi kukuoa? mbona ulishanikataa? unataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia nini?" Aliniuliza "usiwe na wasiwasi utaonja tu tukioana".

Kuna siku nilimwita nikamweleza sina mpango wa kuoana naye kwani ninamajukumu mengine ya kikazi.

Siku chache baadae aliniomba aje kunitembelea. Nilikubali. Alipokuja alinibembeleza sana na aliniomba hata kama sina nia naye basi nimridhishe japo mara moja tu. Aah, siunajua tena kajileta mwenyewe; "tulimaliza, akatulia".

Baada ya hapo aliendelea kunitumia meseji kwamba "ameipenda huduma yangu" na anaomba tuwe karibu zaidi (achilia mbali ndoa kwasasa kama nipo bize).
ulikua bize kweli??
Nifanyeje ili nimpotezee kabisaa kwani kila siku anataka tuonane mimi ndo namzingua!

mlipokutana mlikua wenyewe, utakua ni unafiki mkubwa kukishauri jinsi ya kuachana nae "love is something natural "
 
ushaambiwa mtu ni chaote na wewe eti ukatest. Wow
 
Sometimes ni viz kuwa na msimamo ktk life ss km humpend ulimla wa nm? Usituchanganye
 
Mwanamke alikukataa mara ya kwanza amejileta kiurahisi umemlala alfu unajisifia, anagalia wengine huwa wanakuja kwa shari hawakutakii mema
 
Back
Top Bottom