BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
kama unampenda ignore tu ......
nina mchumba wangu 25yrs old!..anapenda sana kunyonya kodole nakushika chuchu huku akiivutavuta!...sio siri tabia hii inanikeraa!..nimemuonya lkn wapi!!!..juzi kidogo tupate ajali eneo la rose garden kona ya tcu na gari kisa tulikua tunagombana kuhusu tabia hiyo...cha ajabu tumefika hm kaendelea tena na tabia hyo!!..daah nimechoka nisaidieni wana jf nifanyeje????