Anaomba ushauri: Achague kozi gani kati ya hizi?

Anaomba ushauri: Achague kozi gani kati ya hizi?

Kijana yupo dillema, anaomba ushauri wa wadau wenye uzoefu ili isijetokea akaharibu huko mbele.

Amechaguliwa Course zifuatazo na ana hitaji aconfirme mojawapo.

UDSM - GEOMATICS
UDOM - MINNING ENGINEERING
ARDHI - GEOMATICS

Msaada tafadhali kijana achague programu ipi kati ya hizo??
Aache mbwembwe. Kama nia Ni engineering.

Asome Engineering mama.
  • Civil
  • Electric
  • Mechanical
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom