phil78
Member
- Jan 12, 2023
- 47
- 73
Habari za sahivi wana JF, mim ni yule kijana kama mnakumbuka nilikuja kuomba ushauri juu ya kukataliwa ukweni ,kila mtu akasema yake. Wengine wakasema tafuta hela, wengine wakashuka matusi, ila nikakaambali na ile pisi.
Sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipenda sana, akaomba namba zangu nini, nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu.
Basi demu namuuliza unamiaka mingap anasema 30, afu anasema anawatoto 4, aaaah nikijicheki nina 23 mmmh! Nikaona hapa mbona kazi ipo!
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia, akaniaifia sana mara hendsome nini! Mara anajuta kuwahi kuolewa. Nikamuuliza kumbe uliolewa, manzi anasema ndiyo ila wameachana na bwana wake.
Sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno, mara alegeze sauti, mara aniringie, nikamwambia mimi naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaji mahusiano naye.
Manzi kanivuta mpaka nimemuelewa, ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale naye, nikae nae, na amesema anataka nimuoe.
Ndgu zangu wana JF, naomba mnishauri hii manzi kweli hata ungekua wewe ungekubali kukaaa nayo? Na je, unaweza kuoa mtu alokupita miaka 7?
Sasa wiki kama mbili hivi zilizopita kuna mdada nilimtania tu facebook akatokea kunipenda sana, akaomba namba zangu nini, nikaingia nae chimbo kwa maaana whatsapp kama unavojua mtu akikufuata lazima utataka kumfahamu.
Basi demu namuuliza unamiaka mingap anasema 30, afu anasema anawatoto 4, aaaah nikijicheki nina 23 mmmh! Nikaona hapa mbona kazi ipo!
Sasa ndgu zangu huyu manzi akaniomba picha nikamtumia, akaniaifia sana mara hendsome nini! Mara anajuta kuwahi kuolewa. Nikamuuliza kumbe uliolewa, manzi anasema ndiyo ila wameachana na bwana wake.
Sasa manzi jana nimechat nae mara atoe voice za miguno, mara alegeze sauti, mara aniringie, nikamwambia mimi naogopa kuwa nae kwa maaana sihitaji mahusiano naye.
Manzi kanivuta mpaka nimemuelewa, ila kinachonipa maswali ameniambia nikipata likizo nikakae kwake kama pesa yeye atatafuta ila nilale naye, nikae nae, na amesema anataka nimuoe.
Ndgu zangu wana JF, naomba mnishauri hii manzi kweli hata ungekua wewe ungekubali kukaaa nayo? Na je, unaweza kuoa mtu alokupita miaka 7?
kuna gono mkuu usikubali