Ananitafuta tarehe za mshahara tu

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
628
1,648
Wakuu, mmoja wa wapenzi wangu hunitafuta anpoona mshahara umekaribia. Yaani kuanzia tarehe 20 anakesha na mimi mpaka tarehe 26 nikipokea tu mshahara anapotea.

Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.

Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi?

Angekuwa angalau anaondoka hata na 200,000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.

Kuna mwenye uzoefu na hii?
 
Wakuu, mmoja wa wapenzi wangu hunitafuta anpoona mshahara umekaribia. Yaani kuanzia tarehe 20 anakesha na mimi mpaka tarehe 26 nikipokea tu mshahara anapotea. Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.
Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi? Angekuwa angalau anaondoka hata na 200000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.

Kuna mwenye uzoefu na hii?
Ana uhakika wa mshahara wa 50,000 kila mwezi.
 
Wakuu, mmoja wa wapenzi wangu hunitafuta anpoona mshahara umekaribia. Yaani kuanzia tarehe 20 anakesha na mimi mpaka tarehe 26 nikipokea tu mshahara anapotea. Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.
Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi? Angekuwa angalau anaondoka hata na 200000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.

Kuna mwenye uzoefu na hii?
Mpeleke Polisi huyo, atakutoaje hela kidogo hivyo!? Ina maana anakudharau kiasi hicho?
 
Wakuu, mmoja wa wapenzi wangu hunitafuta anpoona mshahara umekaribia. Yaani kuanzia tarehe 20 anakesha na mimi mpaka tarehe 26 nikipokea tu mshahara anapotea. Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.
Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi? Angekuwa angalau anaondoka hata na 200000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.

Kuna mwenye uzoefu na hii?
Anajua yupo na wenzake, bora ajilie mshahara wake 50k kwa mwezi
 
Wakuu, mmoja wa wapenzi wangu hunitafuta anpoona mshahara umekaribia. Yaani kuanzia tarehe 20 anakesha na mimi mpaka tarehe 26 nikipokea tu mshahara anapotea. Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.
Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi? Angekuwa angalau anaondoka hata na 200000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.

Kuna mwenye uzoefu na hii?
Duu...so shida hapa ni kwamba unataka uwe baba ake?
 
Kuwa MTU wa kuchagua Sana usishobokee mademu wa bei rahisi

50k Kwa MTU Kama wewe ambaye bado unaishi maisha ya paycheck to paycheck ni hela nyingi Sana so think twice.
Sure bro, ninabiashara mjini ambayo mshahara wangu inaupata ndani ya siku 3 tu. Kifupi sijawahi tegemea mshahara. Elewa mada inahusu mtu kunitafuta mwisho wa mwezi akijua mshahara unakaribia(ndio ninavyoona mimi sijui kama ndio plan yake) na issue ya miradi nje na kazi hajui kitu.
 
Back
Top Bottom