Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 628
- 1,648
Wakuu, mmoja wa wapenzi wangu hunitafuta anpoona mshahara umekaribia. Yaani kuanzia tarehe 20 anakesha na mimi mpaka tarehe 26 nikipokea tu mshahara anapotea.
Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.
Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi?
Angekuwa angalau anaondoka hata na 200,000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.
Kuna mwenye uzoefu na hii?
Haombi pesa lakini binafsi huwa nampa 50,000 asubuhi akiondoka ndio hutasikia kapiga simu wala kutuma sms ila ikifika tarehe tajwa ananitafuta anakuja mda wote nakula mbususu mpaka inanipalia.
Najiuliza sidate mke wa mtu kweli ndugu zangu au jini maana sielewi. Mwanamke gani anatumia 50,000 kwa mwezi?
Angekuwa angalau anaondoka hata na 200,000 ningesema hanitafuti coz hana changamoto.
Kuna mwenye uzoefu na hii?