Ananipenda lakini chamoto nakiona

Upoyoyo tuu, mwanamke ni mtu wa kumwendea kwa sangoma eti akutizamie? Keshakuona ----- ndo maana anapiga kimya.
 
Nakushauri rasmisheni mahusiano yenu,Mkiishi pamoja tabia hizo zitatoweka
 
tabia za kwenda kwa waganga wa kienyeji kisa mkeo ni ujinga wa hali ya juu la sivyo atakutesa sana
 
Huyo ameshakuona kuwa wewe ni mwanafunzi wa mapenzi na kuwa wewe unampenda kupindukia, dalili ya kununa kwenye mapenzi huandamana na dharau na jeuri, hivyo vikiwepo kwenye mapenzi hatima ya mahusiano hayo ni lazima yawe mabaya. mahusiano yeyote hujengwa na upendo usio hesabu mabaya, hujengwa na ucheshi na utani, sio mikwakruzo na magomji.
 

Kijana kuwa mshirikina ni dalili za kupaa na ungo uzeeni!
 
"Amelaaniwa yule amtegemeaye binadamu"na kinachokusumbua ni laana sio hata kununiwa,unaenda kwa waganga kisa mwanamke na akununie tu mpaka uache upunguani wako.
 
Mambo yenu ya kutukanana rejareja sio mata..kama unaona ushaur huna baasi bwana...inamaana story yene more than ten lines umeona neno moja tu ambalo ni minor case within a story alaf mtu anakuja kucuote kineno kimoja tu anaanza kikuita majina ya ajabu....Sasa huu ugreat thinker upo wapi..samahan kama kuna mtu nmemkuna lakin message ndo hiyo...lakin kuongezeana stress sio issue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…