Habari wana jf, hii mara yangu ya kwanza kupost kuomba ushauri na ninaomba ushirikiano.
Miezi miwili iliyopita nimekuwa na uhusiano na mwanaume ambaye anaonekana kunipenda na mimi ninampenda sanaaa.Tatizo ni kuwa mpenzi wangu nilimpata nikiwa na mahusiano na mtu mwingine ambaye nilimwacha baada ya kuona sina mapenzi nae ya kweli, huyu mpnz wangu nae alikuwa na mahusiano na mwingine,lakini hakuwahi kuachana nae japo hawakuwa na mawasiliano mazuri,zaidi ya yote ananiambia hana mpango nae ila msichana huwa anamtafuta mwanaume na kumtaka wakutane ila mwanaume anakataa ila hawezi kumwambia waachane,hofu yangu ni kuwa siku moja watarudiana maana hawajaachana. Siwezi kumwambia kwa lazima amuache ila naona anamuonea huruma kumwacha. Naombeni ushauri maana ninampenda na sitamani hata kumkosa yani, nahofia siku wakikutana watapendana upya.
Miezi miwili iliyopita nimekuwa na uhusiano na mwanaume ambaye anaonekana kunipenda na mimi ninampenda sanaaa.Tatizo ni kuwa mpenzi wangu nilimpata nikiwa na mahusiano na mtu mwingine ambaye nilimwacha baada ya kuona sina mapenzi nae ya kweli, huyu mpnz wangu nae alikuwa na mahusiano na mwingine,lakini hakuwahi kuachana nae japo hawakuwa na mawasiliano mazuri,zaidi ya yote ananiambia hana mpango nae ila msichana huwa anamtafuta mwanaume na kumtaka wakutane ila mwanaume anakataa ila hawezi kumwambia waachane,hofu yangu ni kuwa siku moja watarudiana maana hawajaachana. Siwezi kumwambia kwa lazima amuache ila naona anamuonea huruma kumwacha. Naombeni ushauri maana ninampenda na sitamani hata kumkosa yani, nahofia siku wakikutana watapendana upya.