wakuu!
Nilikutana na msichana katika mazingira flani hivi ambapo kila siku ilikuwa lazima tuonane, na tukazoeana na ikafika wakati nikamwambia kuwa nampenda, hakunizungusha sana akakubali. ki umri yeye amenizidi miaka mitano na akaja akaniambia kuwa amezaa mtoto mmoja ila inaonesha aliachana na mzazi mwenzie kwa ugomvi mkubwa. Na imepelekea kuharibika kisaikolojia na kuwa mwenye kukasirika mara kwa mara na mara nyingi amekuwa akinambia kuwa anatamani siku akawaue baba na mtoto wake ili apoze machungu. Mimi sikumpenda haswa kwa sababu kwanza siyo mzuri kivile pia ana tabia ya kukasirika kwa vitu vidogo japokuwa hasira yake huwa haidumu kwa muda mrefu..ila yeye amekolea na mimi. Nataka kumwacha lakini najiuliza yeye atakuwa katika hali gani...maana tangu aumizwe mimi ndiye mtu wake wa kwanza so ataumia sana...nifanyaje?
Nilikutana na msichana katika mazingira flani hivi ambapo kila siku ilikuwa lazima tuonane, na tukazoeana na ikafika wakati nikamwambia kuwa nampenda, hakunizungusha sana akakubali. ki umri yeye amenizidi miaka mitano na akaja akaniambia kuwa amezaa mtoto mmoja ila inaonesha aliachana na mzazi mwenzie kwa ugomvi mkubwa. Na imepelekea kuharibika kisaikolojia na kuwa mwenye kukasirika mara kwa mara na mara nyingi amekuwa akinambia kuwa anatamani siku akawaue baba na mtoto wake ili apoze machungu. Mimi sikumpenda haswa kwa sababu kwanza siyo mzuri kivile pia ana tabia ya kukasirika kwa vitu vidogo japokuwa hasira yake huwa haidumu kwa muda mrefu..ila yeye amekolea na mimi. Nataka kumwacha lakini najiuliza yeye atakuwa katika hali gani...maana tangu aumizwe mimi ndiye mtu wake wa kwanza so ataumia sana...nifanyaje?