Ananipenda au ananijaribu?

Ananipenda au ananijaribu?

yaani wewe uko so outdated
umeshindwa kabisa kumsoma kabisa ..kwa ufupi we bado mshamba kulinganisha na huyo dada

Hili linaweza kuwa jibu sahihi,wadada wa siku hizi kiboko we kila siku aje hostel tu.
 
vivulana vingine bhana" ............ wewe umeletewa papa mpaka geto!' umeshindwa, halafu unakuja kutujazia seva tu hapa. tukusaidie nini sasa?!
 
wewe umeletewa tano ya kirumi hadi ndani ili uinyanyue chadema alafu unaanza kuuliza visivyoeleweka. we uoni chama kinapasuka alafu utaki kupasua chama shauri yako.
 
Hivi washika mapembe mpaka leo bado wapo? Nilidhani kizazi kile kilishapotea
 
siku hizi kuna vituko vya mwaka

yaani badala ya kusoma unadendeka kulikupeleka nini huko chuo zaidi ya kitabu?
 
Sasa hvi kuna haja ya kila mwanaume atakae anzisha thread hapa ajitambulishe yeye ni mwanaume wa ukanda upi!! mleta uzi anaonekana ni mwanaume wa dar
 
Utasibiri sana kuambiwa "niangusage".mapenzi yana sura & mbinu tofauti kutegemea na wahusika sasa wewe endelea kuulizia jibu utajikuta umebaki na manyoya.
 
Bana mwanamke aumbwi kiss lool,weee kiss tu ukiona anaelekea endeleeni
 
Wali uduvi na ugali uduvi..! Hapo pole sana Mkuu..! Kitaani tunasema mwendo "oya oyaaaa"
 
Back
Top Bottom