Habarini wadau,naomba mnisaidie hili suala,shangazi yngu ana saluni ya kike(dressing saln),ni wk 2 sasa kuna mfanyakaz amekuja wa apo salun,na tangu amekuja sio siri nimetokea kumpenda na nikamfungukiaa vizuri na kunijibu kuwa anaogopa mambo yatajulikana kwa shangazi yngu au kwa familia kwahyo inaweza kumsababishia kukosa kazi kwani anaishi hapohapo nyumbani kwa shangazi,siku moja nilikwenda kwa shangazi sikuchelewa nikaondoka,ile nafiki nyumbani tu akanipgia cm na kunilalamikia kwanini nimeondoka haraka na cjamuhaga hivyo alinitaka nirudi akaone ili aridhike nisipofanya hivyo anaweza kukosa uzingizi,hapo nikajenga picha kwamba mtt ameshaliwa bado vitendo tu,cha ajabu ni kwamba naweza kukaa nae akaniachia kumshika na kuchezea sehemu yoyote ya mwili wake ivyo kufanya askari wangu kusimama na nikitaka kumaliza picha hapo ndo anakuwa mkali kama chui,naomba mnishauri niendelee kukomaa ipo cku ataachia au nimpotezee,na mniambie kuna tatzo gani linafanya aniachie kumchezea navyotaka uroda ananyima? asanteni!