Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
mmh, mwenzio nshazeeka. Unakutana na complete stranger anaanza kukuita my pineapple sijui big g! Mara siku mbili anaanza kukuambia nakupenda sijakufa nikaoza bila wewe sijui nini!
wooi. kueni mjionee maghorofa na mengineyo
Kama mimi bosi wako....mtu akiniita mke wangu tu daaah
Bosi na ww kumbe bado mtoto, yani ukiitwa "my wife wangu" unachanganyikiwa? hahahaha
Hahahaha...mi mdogo lakini nna mapesa...si unanijua?
Kwa hiyo mrsleo, mimi nikikutongoza na kukuambia nakupenda sana na tutakuwa wote (kuoana) basi unakuwa umejiridhisha ya kuwa nakupenda hata kudinya nadinya tu muda nitakao? Aisee!? Ndiyo maana wanaume wanawadanganya na kuwachukua kiulaiiiiiiiiiiiiiiiini make wasema kweli huwa hamuwakubali!my dear najua umri huo kwa msichana ndo huwa tunahaha kuwa na watu wakujenga nao future, ila usipokuwa makini future hutakaa uione zaidi ya kuchezewa tu, huyo wala hana mapenzi na wewe mpendwa, yani ukishasikia mwanaume anakwambia nakupenda lakini siwezi kuwa na wewe sababu ya hivi na vile, juwa hapo mapenzi hakuna na usilazimishe itakula kwako, sana sana hapo nnachokiona mwenzio anacheza tu na akili yako ila mwisho wa yote utakuja kusikia kaolewa mamal lily original
my dear najua umri huo kwa msichana ndo huwa tunahaha kuwa na watu wakujenga nao future, ila usipokuwa makini future hutakaa uione zaidi ya kuchezewa tu, huyo wala hana mapenzi na wewe mpendwa, yani ukishasikia mwanaume anakwambia nakupenda lakini siwezi kuwa na wewe sababu ya hivi na vile, juwa hapo mapenzi hakuna na usilazimishe itakula kwako, sana sana hapo nnachokiona mwenzio anacheza tu na akili yako ila mwisho wa yote utakuja kusikia kaolewa mamal lily original
hajajua mbinu za kutongoza huyu. Ngoja nae azae manka wake, na mwanamke mwingine aanze kuitwa mama manka. lol
Dah, hapa ndio nawashangaa wanawake. Sijui mmeumbwaje, vimaneno hivyo mnavimba vichwa sijui kwa nini. Wengine wasifie kidogo tu hakyanani papuchi wala buree,...!
Sababu za yeye kukataa kumuoa mama lily origino umezielewa? Angalia, wanaume sie wabaya sana!!!
haki ya mungu tuko tofauti sijui akili zangu ndio hazikui?? yan eti niitwe mama razaki feki namimi nilowane chupi kisa????
Kuna kijana nampenda na anajua hilo na yeye anadai ananipenda ila hawezi kuwa kuwa distant relationship which means hawezi kuwa nami.
Cha ajabu ni kwamba mara kwa mara huniita mama Lily (not real name) Lily likiwa ni jina la mtoto wake aliyezaa na mwanamke mwingine ambae anasema hawezi kumuoa kwa sababu wanazozijua wao.
Tatizo ni kwamba kuniita hvyo ananifanya nijisikie kama sehemu ya maisha yake na husema ananipenda pia, what is keeping him from being with me? distance?really?
Naogopa kuwa na false hope na kumsubiri nikajikuta nakuwa single at 30 lol
Ushauri please
Kwa hiyo mrsleo, mimi nikikutongoza na kukuambia nakupenda sana na tutakuwa wote (kuoana) basi unakuwa umejiridhisha ya kuwa nakupenda hata kudinya nadinya tu muda nitakao? Aisee!? Ndiyo maana wanaume wanawadanganya na kuwachukua kiulaiiiiiiiiiiiiiiiini make wasema kweli huwa hamuwakubali!