Analazimisha watoto wote wasome shule moja wakati si yeye anayetoa huduma

Huyo mbwiga ndo anaishi nae lakini baba mtoto hawezi kuishi na mwanae maana nae ni wale wakaka wa mjini umri mkubwa bado bachelor kutwa kuingia home na videmu tofauti daily hayo si mazingira ya kulelea mtoto kwahiyo amshukuru baba K kwa kumpa mwanae mazingira ya kifamilia.
Kumbe kuna other sides of the story,mkuu haya yite ungemalizia kule kule juu kwenye uzi,maana naona watu wengi wanamshutumu baba k wakati nae ana msaada mkubwa sana kwa huyo mtoto regardless hamlipii ada!Hapo busara inatakiwa kutumia ukizingatia Baba k ni mtu anaejitolea sana kwa huyo mtoto wake wa kufikia!
Anybody can be a father,but it takes a special Man to be a Daddy, And Baba K is definitely a 'Dad'
 
Kumbe kuna other sides of the story,mkuu haya yite ungemalizia kule kule juu kwenye uzi,maana naona watu wengi wanamshutumu baba k wakati nae ana msaada mkubwa sana kwa huyo mtoto regardless hamlipii ada!Hapo busara inatakiwa kutumia ukizingatia Baba k ni mtu anaejitolea sana kwa huyo mtoto wake wa kufikia!
Anybody can be a father,but it takes a special Man to be a Daddy, And Baba K is definitely a 'Dad'
Baba K ana msaada mkubwa sana na he was man enough to marry her na mtoto wake ila naye kwanini akubali mzazi mwenzie kushika usukani wa ndoa yake?

All in all leo nimemwambia achukue mwanae arudi nae kwa mumewe. Nimemshauri watoto kwenda same school ni muhimu hivyo wakae wajadili way forward hata ikiwezekana wawahamishie shule nyingine ambayo kwa wote haitokuwa tatizo. Ila ndoa ngumu jameni.
 
Nimuhamishe mwanangu shule anakolipiwa ada na babake kisa mume kasema? Bado naendelea kuwaza
Kumbuka anakiumbe tumbonj cha miezi mitano.Hasipoangalia atakuwa single mother wa watoto wawili wenye baba tofauti.Huyo unayesema baba yake mulipa ada si amchukue na mwanae?.
 
Princess Zara Kwa mujibu ya haya maelezo yako hizi ndoa wahusika hawajajitambua coz kama wameamua kuambatana, hayo mambo ya maalekezo ya ma ex wao yanatoka wapi tena? Kwa mazingiara kama hayo hawa watu hawataweza kudumu coz bado mwanamke akili inamuwaza mwenye mkwanja. Na kama wasipotumia busara wasahau ndoa.
 
Siyo situationa rahisi kama mnavyoichukulia, watoto wanakaa nyumba moja halafu wanasoma shule za quality tofauti, mmoja high class mwingine medium class, it's not good at all. Mnaanza kuwaonyeshea wao ni wa wazazi tofauti from childhood, acha waje kujua wenyewe wakikua. Solution ni either wote wasome hiyo medium class au wote wasome hiyo high class.
Lakini baba anataka mtoto aende shule anayosoma mwanae si kwa ajili ya kuondoa tofauti ni kwa sababu mama k kalalamika kwa nini mama k ampange maamuzi ya familia ?
 
Kwa mujibu ya haya maelezo yako hizi ndoa wahusika hawajajitambua coz kama wameamua kuambatana, hayo mambo ya maalekezo ya ma ex wao yanatoka wapi tena? Kwa mazingiara kama hayo hawa watu hawataweza kudumu coz bado mwanamke akili inamuwaza mwenye mkwanja. Na kama wasipotumia busara wasahau ndoa.
Ndo hapo yani. Kuzaa na mtu si kitu kidogo maana ndo ushaungana naye
 
Wewe inaonekana huwajui akinamama! Kweli ampeleke mtoto wake kwa mama wa kambo na alee wako? Thubutu, cc Mzigua90 unasemaje?

Mkuu kwa hapo hakuna namna nyingine,Huyo jamaa mwenye mtoto kwa maelezo ya mtoa mada kwa namna yeyote anaweza/anautumia uwezo wake kumchapa mwenye mke.Broo hivi unaielewa stuation ya hao watoto wawili asubuhi wanaondoka pengine mmoja anafuatwa na kuletwa jioni na school bus huku mwingine tena ambaye baba yake ndiye anawahudumia kwa maana ya malezi na malazi wakwake anaenda pengine kwa daladala?.

Nafuu ya hapo ni mambo mawili either kusoma shule moja au huyu mwenye baba mwenye uwezo kwenda kwa baba yake.Tofauti na hiyo tegemea ndoa hiyo kuvunjika haraka sana.Hiyo ndoa ikvunjika katika wahusika hao wanne yahani bachelor mwenye fedha,jamaa mwenye mke,mke,na mzazi mwenzie na jamaa,atakae kuwa amepoteza zaidi ni huyo mke ambaye anakiumbe cha jamaa tumboni.

Huyu X wa mmewe ndo atakuwa mfaidikaji mkuu maana kama hajaolewa/kuzalishwa na mwanaume mwingine jamaa anaweza kuyasawazisha yaliyofanya wasioane na akamuoa.Huyu mama atateseka na watoto wawili,kwa sasa jamaa X mwenye mapesa anaweza kuwa anampa moyo lakini amini kama alishindwa kumuoa akiwa na mtoto wake pekee hawezi kumuoa akiwa na mtoto wa huyu mme mpya.

Hizo fedha anazomsomesha dogo shule ya hali ya juu huenda akioa majukumu yakaongezeka hasiweze japo kumuhudumia mwanawe ipasavyo.Huo ndo ulikuwa msingi wa hoja yangu.
 
Mkuu kwa hapo hakuna namna nyingine,Huyo jamaa mwenye mtoto kwa maelezo ya mtoa mada kwa namna yeyote anaweza/anautumia uwezo wake kumchapa mwenye mke.Broo hivi unaielewa stuation ya hao watoto wawili asubuhi wanaondoka pengine mmoja anafuatwa na kuletwa jioni na school bus huku mwingine tena ambaye baba yake ndiye anawahudumia kwa maana ya malezi na malazi wakwake anaenda pengine kwa daladala?.Nafuu ya hapo ni mambo mawili either kusoma shule moja au huyu mwenye baba mwenye uwezo kwenda kwa baba yake.Tofauti na hiyo tegemea ndoa hiyo kuvunjika haraka sana.Hiyo ndoa ikvunjika katika wahusika hao wanne yahani bachelor mwenye fedha,jamaa mwenye mke,mke,na mzazi mwenzie na jamaa,atakae kuwa amepoteza zaidi ni huyo mke ambaye anakiumbe cha jamaa tumboni.Huyu X wa mmewe ndo atakuwa mfaidikaji mkuu maana kama hajaolewa/kuzalishwa na mwanaume mwingine jamaa anaweza kuyasawazisha yaliyofanya wasioane na akamuoa.Huyu mama atateseka na watoto wawili,kwa sasa jamaa X mwenye mapesa anaweza kuwa anampa moyo lakini amini kama alishindwa kumuoa akiwa na mtoto wake pekee hawezi kumuoa akiwa na mtoto wa huyu mme mpya.
Hizo fedha anazomsomesha dogo shule ya hali ya juu huenda akioa majukumu yakaongezeka hasiweze japo kumuhudumia mwanawe ipasavyo.Huo ndo ulikuwa msingi wa hoja yangu.
Nimekuelewa ila mambo ni magumu katika ndoa za mchanganyiko wa watoto! Kwangu siwezi kuoa mtoto na mama yake
 
Huyo mbwiga ndo anaishi nae lakini baba mtoto hawezi kuishi na mwanae maana nae ni wale wakaka wa mjini umri mkubwa bado bachelor kutwa kuingia home na videmu tofauti daily hayo si mazingira ya kulelea mtoto kwahiyo amshukuru baba K kwa kumpa mwanae mazingira ya kifamilia.
kwahiyo ww unamuona huyo jamaa mjanja sana? na kwa tabia hizo ulizoeleza za huyo mbwiga anayetoa saport kwa mwanae ndani ya familia ya baba k, eg umri umkwnda, bachela na nimtu wa kubadili vsichana daily bila shaka baba k kuna viashiria kaona na ameamua kudhibiti mapema kunusuru ndoa, mwanaume hata akiwa masikini zipo heshima na nidhamu lazima asikilizwe ndani ya nyumba
 
hahaaa yaaani mke wangu mwenyewe halafu bado napangiwa namna ya kuishi na familia yangu nalijitu lingine nje huko
Sio jitu lingine huyo ni mume mwenza tu, utaleta mbwembwe lakini naye ana maamuzi :D:D:D si mmewekeza sehemu moja.
 
Nimuhamishe mwanangu shule anakolipiwa ada na babake kisa mume kasema? Bado naendelea kuwaza
kwa msimamo wangu bora umpeleke huyo mwanao kwa huyo babake au hata bibi yake. Ada na huduma zote apewe huko huko mimi nikiwa sifahamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom