Analazimisha kunioa

Huyo ikibidi ntamdedisha tu. Sio kikwazo kwangu kabisa kwenye ndoa yetu changa. Nakupenda sana mume wangu mtarajiwa. Mahari ntajitolea
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Miaka 28 bado hujazaa? Unasubiri yale mabonge (mayai) yaote kwenye mirija ya uzazi ndio uamke kuhangaika kwamba hautozaa? Zaa nae huyo jamaa alafu endelea kumfikiria kuhusu ndoa, akisumbua achana nae baki single mama, ukijimix ukataka vyote utatuletea uzi mwingine humu
 
Miaka inaenda inarudi wanawake mpogo vile vile tu sijui kwanini, sijui akili zenu zinafanyaje kazi

Three years bado mtu unamtafakari tu, three years? it means since you was 25 up to 28 years old now? Bado unamtafakari tu? Hiyo ni bachelor in tafakaring au?

Ningekuwa mimi huyo mwanaume ningekuwa nishaoa au nishazaa na mwanamke mwingine afu nakusikilizia tu nakuchora

Anyway, swali likihitaji ujibu "YES" au "NO" afu ukawa hujui ujibu nini, basi jibu ni "NO" a big NOO
 
Nakazia mkuu
 
Dalili ya mvua ni mawingu,kama unaona huelewi tabia zake sasa hivi mkimbie huyo akikuoa utasanda!
 
Fact
 
Moja,weye siyo binti.Mbili,kama hautaki kuolewa,acha kuutangazia umma upunyufu wako.
 
Uzuri hajajificha tabia zake hivyo maamuzi ni yako. Usidhan kuna binadamu asie na kasoro hayupo na hatokaa atokee. Mruhusu aje ajitambulishe akuoe au kama hutaki bado unasita muache usimpotezee huyo kaka muda.
 
Ni bora ukaamua moja,pia kama unaona hakufai we mteme tu.
Pia usiolewe ilimradi badae ukaanza majuto, maana ya uchumba ni kuangalia je huyu mtu ananifaa au hanifai.Ni heri ukae kwenye uchumba hata miaka tano lakini ujiridhishe kama huyu ananifaa na ntakuwa tayari kuishi naye kwenye maisha yaliyobaki.
Ndoa za siku hizi hazidumu kwa sababu ndogondogo tunazozipuuzia
Kama mtu at 35 hajitambui usitegemee jipya ukiamua kuolewa ujue huko tyari kwa lolote
 
Ni bora uolewe kulko kwenda kwa mwamposa kuombewa bahati haijagi mara mbili japo inaweza tokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…