Aiseee una uzoefu sana ndgUyo mgogo nn au wanawake wa singida
Najua ndo wako hivyo vipi uyo wako?Aiseee una uzoefu sana ndg
Basi kama unampenda mwache awajue ndugu zakosijawai ila anajua nampenda
hahahaHata sielewi in mwana FA voice
Muoaji huezi kuwa wewe bhana.....unampotezea mwenzako machaguo mengine tu.kivipi?Mimi ndio muoaji
Endelea kumfanyia uchunguzi atokee mwenzio amchukue fasterni mapema mno asubiri nimfanyie uchunguzi wa kutosha
Kuwa na wewe haimanishi tayari nimeisha kukubali 100%, mshamba mmoja nilimpeleka kwa anti demu mmoja kichwa maji, siku si nyingi badae akanivuruga nilimtema kama kohozi..!Nyie viumbe hamna jema kabisa mkipendwa mnalalamika hivi huwa mnataka ninii kama hapo unaona kama usumbufu huwa hamjui ninii mnataka
Muwe kama sisi, sometime tunakuwa bado tunafanya intelligensia sasa nyie kiherehere chenu mnataka kwenda mbio.Hamna jema kwa kweli, akiwapenda ndugu ana kiherehere akiwachukia anawachukia ni shida yaani.