markbusega
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 826
- 850
AsantePole kwa majukumu
Nashukuru mkuuPole kwa majukumu
Mkuu akishasema ni lazima umpe vinginevyo uahidi unampa lini sasa naona hii sawa kuna kukosa mkuumsaidie tu si ni baba yako mzaz?au unataka nan amsaidie?kama huna mwambie tu kuwa huna!ila usigombezane na baba yako,wazee wengne wanatafutia mazngira ya kuwapa laana watoto wao!
Ni mwezi huu nilipoamua kuwaokoa wadogo zangu wawili na ndoa za utotoni. Iko hivi:
Wakati nikifanya utaratibu wa kumwendeleza kielimu mdogo wangu wa miaka 14 wa kike aliyefeli la 7,kumbe baba alikuwa tayari ameamua aolewe ila anaunga mkono nia yangu kinafiki .akaja akinidanganya mama amekataa ati aolewe tu kuona hivyo
Ndipo niliamua kuwaokoa hawa wengine wawili miaka 10 na 12 wote wa kike kwa kuwahamishia nnakoishi kikazi
alikataa kugharamia hata mchakato wa nauli kwa ajili ya kufuatilia uhamisho wao maana mimi niko mbali kwa madai hana hela jambo ambalo sikweli nikagharamia mchakato wote wa uhamisho na nauli ya kuwaleta na kumrudisha aliyewaleta ukawa umegharimu laki tatu kuna dogo naye anasoma sec day gvt naye nikamrushia elfu 50 uniform n.k nilikuwa na akiba ya laki tano ikawa ndo hivyo tena.
Kinacho nifanye niandike ni leo asubuhi ananiomba laki mbili nimesema sina, anasema mshahara si umetoka? Nimemwambia bado haamini anataka nikakope hata kama haujatoka kwa kweli sina mpango wa kumpa maana nimemwambia mshahara huu unabajeti ya kodi ya nyumba mwezi huu analalamika eti nikioa ndio itakuwa zaidi ya hapa duh nimechoka sina hamu naye.
wadogo hawa watatu wananitegemea kwa kila kitu shule mavazi, malazi hadi matibabu lakini mzee haoni mchango wangu naombeni msaada wenu wadau jinsi ya kuishi na mzee wangu maana yeye anaamini mimi ni suluhisho la matatizo yake yote na changu chote ni chake nasipaswi kujipanga. kupiga simu naomba fedha ninunulie kiwanja chake shamba au nadaiawa kwake ni kawaida hajachoka kivile anang'ombe 20 mbuzi mashamba ekari 30 n.k nisiwachoshe nawasilisha.
Pongezi kwa kusomesha wadogo zako.. Vingine ni kuelezana uhalisia wa maisha hata akikasirika as long as ni ukweli Mungu pia atakuwa upande wako...Ni mwezi huu nilipoamua kuwaokoa wadogo zangu wawili na ndoa za utotoni. Iko hivi:
Wakati nikifanya utaratibu wa kumwendeleza kielimu mdogo wangu wa miaka 14 wa kike aliyefeli la 7,kumbe baba alikuwa tayari ameamua aolewe ila anaunga mkono nia yangu kinafiki .akaja akinidanganya mama amekataa ati aolewe tu kuona hivyo
Ndipo niliamua kuwaokoa hawa wengine wawili miaka 10 na 12 wote wa kike kwa kuwahamishia nnakoishi kikazi
alikataa kugharamia hata mchakato wa nauli kwa ajili ya kufuatilia uhamisho wao maana mimi niko mbali kwa madai hana hela jambo ambalo sikweli nikagharamia mchakato wote wa uhamisho na nauli ya kuwaleta na kumrudisha aliyewaleta ukawa umegharimu laki tatu kuna dogo naye anasoma sec day gvt naye nikamrushia elfu 50 uniform n.k nilikuwa na akiba ya laki tano ikawa ndo hivyo tena.
Kinacho nifanye niandike ni leo asubuhi ananiomba laki mbili nimesema sina, anasema mshahara si umetoka? Nimemwambia bado haamini anataka nikakope hata kama haujatoka kwa kweli sina mpango wa kumpa maana nimemwambia mshahara huu unabajeti ya kodi ya nyumba mwezi huu analalamika eti nikioa ndio itakuwa zaidi ya hapa duh nimechoka sina hamu naye.
wadogo hawa watatu wananitegemea kwa kila kitu shule mavazi, malazi hadi matibabu lakini mzee haoni mchango wangu naombeni msaada wenu wadau jinsi ya kuishi na mzee wangu maana yeye anaamini mimi ni suluhisho la matatizo yake yote na changu chote ni chake nasipaswi kujipanga. kupiga simu naomba fedha ninunulie kiwanja chake shamba au nadaiawa kwake ni kawaida hajachoka kivile anang'ombe 20 mbuzi mashamba ekari 30 n.k nisiwachoshe nawasilisha.
Hizi laana nyingine sijui kama zinafanya kazimsaidie tu si ni baba yako mzaz?au unataka nan amsaidie?kama huna mwambie tu kuwa huna!ila usigombezane na baba yako,wazee wengne wanatafutia mazngira ya kuwapa laana watoto wao!
Wazee kama hawa hata ukioa hawashindwi kuleta fitina na majungu ya kila aina wakati mwingine hata kutumia uchawi ili tu ndoa isambaratike. ..tuna mifano haiHuyo mzee hajielewi..Kitendo cha kumuoza huyo mdogo wako wa miaka 14 wakati ulishaonyesha nia ya kumsaidia kinaonyesha dhahiri kuwa huyo mzee anapenda pesa...Ndo mana anakulilialilia msaada deile..Cha msingi we jikite zaidi kwenye kuwasaidia wadogo zako..Mzee uwe unamcheki kama bajeti ikiwa inaruhusu au akiwa na matatizo serious...Kumbuka hao wadogo zako nao wasipotoka kimaisha inakuwa mmeongeza mzigo kwenye familia..Mana wote watakuwa tegemezi..Familia nzima itakuwa inakutizama ww..Hapo bado hujaongeza familia yako
Sure..Wazee wengine nuksi sana aiseeWazee kama hawa hata ukioa hawashindwi kuleta fitina na majungu ya kila aina wakati mwingine hata kutumia uchawi ili tu ndoa isambaratike. ..tuna mifano hai