Anakata roho

Anakata roho

sulphadoxine

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,257
Reaction score
649
Jamaa mmoja alikua anakata roho,muda huo mkewe alikua karibu nae,jamaa akamwambia mkewe"mke wangu naomba unisamehe kuna kosa kubwa nimekufanyia,nilitembea na dada yako,mdogo wako,rafiki yako na mama yako".Mkewe akamnong'oneza nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu"
 
Jamaa mmoja alikua anakata roho,muda huo mkewe alikua karibu nae,jamaa akamwambia mkewe"mke wangu naomba unisamehe kuna kosa kubwa nimekufanyia,nilitembea na dada yako,mdogo wako,rafiki yako na mama yako".Mkewe akamnong'oneza nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu"
Mkewe kaona bora awe mjane( suluhisho la kudumu) mana atauweka wapi uso wake wakati kidume ndo kimeizunguka familia nzima kwa kumwaga mimba
!
 
Huyo aliyeua ndio mdhambi




jamaa mmoja alikua anakata roho,muda huo mkewe alikua karibu nae,jamaa akamwambia mkewe"mke wangu naomba unisamehe kuna kosa kubwa nimekufanyia,nilitembea na dada yako,mdogo wako,rafiki yako na mama yako".mkewe akamnong'oneza nayafahamu yote hayo ndio maana nimekupa sumu"
 
the stupid bastard is dead with inheritance to spare,good woman.
 
ni big sooo...ila jamaa ni nomaa..kakamua kila kitu....
 
Back
Top Bottom