Nahitaji meneja wa bar mwenye sifa zifuatazo
1. awe anauwezo wa kusimamia wahudumu
2. mbunifu katika huduma
3. mwaminifu
4.ajue kufanya hesabu za mauzo na stock
5.mchapa kazi kwa bidii
6.ajue kusoma na kuandika.
bar ipo maeneo ya Tegeta. mshahara wa kuanzi ni laki moja na ongezeko litakuwepo kutokana na uwajibikaji na mafanikio ya biashara kimapato na faida.
aliye serious au mwenye kujua mwenye sifa husika anipm.
1. awe anauwezo wa kusimamia wahudumu
2. mbunifu katika huduma
3. mwaminifu
4.ajue kufanya hesabu za mauzo na stock
5.mchapa kazi kwa bidii
6.ajue kusoma na kuandika.
bar ipo maeneo ya Tegeta. mshahara wa kuanzi ni laki moja na ongezeko litakuwepo kutokana na uwajibikaji na mafanikio ya biashara kimapato na faida.
aliye serious au mwenye kujua mwenye sifa husika anipm.