KotelaMamba
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 765
- 1,399
- Thread starter
- #21
Siko dhaifu kihivyo bossiakutafte wapi tena? kama unao si weka wazi hapa. ila jamaa nae anataka kuanzia miaka 24, huyo mfanyakazi au mke?
Siko dhaifu kihivyo bossiakutafte wapi tena? kama unao si weka wazi hapa. ila jamaa nae anataka kuanzia miaka 24, huyo mfanyakazi au mke?



Ushampata mdada?Hakuna aliyeshinda mpaka sasa.
badoUshampata mdada?
Kuna mjumbe kutoka tabora hapo juu, hebu msikilizeBado Anahitajika
Kuna mjumbe kutoka tabora hapo juu, hebu msikilize


bado
Mrs bobo nami nahitaji mdada wa kazi. Nipasie namba yako PMBinti yupo karibu
Tuma nambaKuna wadada Wawili (Ndugu zangu), wahitimu wa VETA (Food Production) Wanatafuta Ajira ya;
Hotel , Restaurant, Msaidizi Wa Nyumbani nko
Mwenye uhitaji naomba tuwasiliane.
Ahsante