Anahitajika kijana wa kupost data kwenye system ya quick book

Anahitajika kijana wa kupost data kwenye system ya quick book

Idofi

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2010
Posts
2,294
Reaction score
2,007
Anahitajika kijana wa kupost data kwenye ya system Quick Book haraka sana, ni kazi ya muda temporary work kama upo tayari na unauwezo wa kutumia system hiyo ni pm
 
mkuu.. , kwani hahiwezekani kutumia qualifications nyingine mfano awe na PASS ya MATHS at B kwa csee.. na atleast C kwa BAM ACSEE au any mathematical knowledge ?
 
Habari za kazi?,Niko tayari kufanya hii kazi ya quick book.Samahani nimejaribu kutumia PM inasumbua sijui tatizo ni nini naomba tuwasiliane kupitia e-mail yangu "peternzeyimana@gmail.com".

Nasubiria Feedback kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom