Anahitajika haraka Administrative Officer/Receptionist

Anahitajika haraka Administrative Officer/Receptionist

Conrad84

Senior Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
104
Reaction score
43
Habari,

Anahitajika haraka Administrative officer/Cashier ktk ofisi yetu mpya iliopo Mwenge, Dar es salaam.

MAJUKUMU
- Kuhakikisha ofisi inakuwa safi
- Kutunza kumbukumbu zote za malipo,matumizi na bili za ofisi.
- Kulipa Wafanyakazi na Suppliers
- Kuandaa Invoice za wateja
- Kuandaa Risiti,Cheki,Peti keshi
- Kuwasiliana na wateja juu ya Malipo.
- Ku update database ya wafanyakazi.

SIFA ZA MUOMBAJI
- Awe wakike na umri usiozidi miaka 28.
- Aweze kuongea kiingereza vizuri
- Aweze kutumia program za kompyuta ( Kama Ms excel, Ms Word, Ms outlook, Internet na Email)
- Awe na leseni ya udereva
- Awe anajua mambo ya Administrative officer/Cashier

Mshahara wa kunzia: 250,000.0

Kwa maelezo zaidi: 0774 819 710
 
Kaz zote hizo mshahara sisimizi? Mkoa wenyew daslam looooo
 
Wenye sifa ombeni mkatafute ujuzi msikatishwe tamaa na wenye kazi za mamilioni, kama CV ni nyeupe kaipe maandishi hapo
 
Habari,

Anahitajika haraka Administrative officer/Cashier ktk ofisi yetu mpya iliopo Mwenge, Dar es salaam.

MAJUKUMU
- Kuhakikisha ofisi inakuwa safi
- Kutunza kumbukumbu zote za malipo,matumizi na bili za ofisi.
- Kulipa Wafanyakazi na Suppliers
- Kuandaa Invoice za wateja
- Kuandaa Risiti,Cheki,Peti keshi
- Kuwasiliana na wateja juu ya Malipo.
- Ku update database ya wafanyakazi.

SIFA ZA MUOMBAJI
- Awe wakike na umri usiozidi miaka 28.
- Aweze kuongea kiingereza vizuri
- Aweze kutumia program za kompyuta ( Kama Ms excel, Ms Word, Ms outlook, Internet na Email)
- Awe na leseni ya udereva
- Awe anajua mambo ya Administrative officer/Cashier

Mshahara wa kunzia: 250,000.0

Kwa maelezo zaidi: 0774 819 710
Duuuuh!! Administrative Officer (afisa tawala) mshahara 250,000!!!

Au unahitaji mdada wa mapokezi (receptionist)?
 
Back
Top Bottom