Anahitajika Fundi wa milango na Frame za Milango ya Mbao

Anahitajika Fundi wa milango na Frame za Milango ya Mbao

Nkuba25

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
2,374
Reaction score
13,097
Habari Wana Bodi

Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.

Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.

Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.

Asante


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Wana Bodi

Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.

Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.

Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.

Asante


Sent using Jamii Forums mobile app

Mzee unakubali ubia nikiweka mashine hapo ya kuranda na vitu kama hivyo?
 
Habari Wana Bodi

Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.

Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.

Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.

Asante


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukihitaji mbao au Kama una miti unahitaji kuchana mbao nitafute
 
Habari Wana Bodi

Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.

Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.

Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.

Asante


Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mkuu, nataka kutengeneza workshop kama hii; naomba muongozo kama ulifanikiwa. Eg. Mashine zipi muhimu nahitaji, mambo ya kuzingatia n.k Product ni milango na frame tu.
 
Back
Top Bottom