Anahitaji ushauri

mwanaume ndo kakuambia anataka akuoe au we unataka uache shule ili umwambie jamaa akuoe?
 

kwa vile umefika hapo ulipo, umechelewa kuacha we malizia tu ungejua ungeacha tangia shule ya msingi
 
We kilaza kwani unatakaje, lengo ni kufikisha ujumbe no matter habari imetoka wapi kuna wengine huko fb hawana habari napo

Sawa mimi kilaza wewe mwenye akili ushauri wako utamfikia mlengwa?? Angeleta kama habari sawa lakini kama kuomba ushauri huku yeye mwenyewe hawezi kufikisha ujumbe nahisi wewe ndo utakuwa kilaza zaidi yangu
 
kumbe nawe umeliiona hilo mkuu yanachosha mtu anashindwa kutoa kitu chako jamani?

Haya mambo yanapoteza muda na kusumbua akili za watu tu. Mtatoa ushauri na haumfikii mlengwa ni sawa na kazi bure tu sijui mtoa mada anakuwa na lengo gani hasa
 
Isee mapenzi matamu sana ikibidi ka vipi ndoa ifungwe tu dada zetu mkipenda mnapigwa na upofu kabisa!
 

recycled and not funny
 
Kuwa makini inawezekana mpo wengi hiyo pesa chambo na wewe unajiingiza mzima mzima
 
mmmmmmh! nishid kuchelew shule ulipaswa uwe chuo na wew..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…