Anahitaji ushauri kuhusu hili:


lolz..

nachokiona hapa hii ni hadith ya kufikirika. Ndani ya miezi mi2 mtu anahonga gari na pesa juu ili hali akijua ni distance r.ship!!

na huko kubanwa ghafla mpaka kutaka game online b4 alikuwa anafanyaje? kwa commitment ipi mpaka ahahe hivyo.. watch lol

mytake: tuachane na kuiga kwingi na kufuata tamaduni za watu.
 
Last edited by a moderator:
Bado sijaelewa kinachosemwa hapa..
Wacha nisome comments za wengine kwanza
 
Mkuu HorsePower kabla ya kuja huku na kukutana na huyo mdada kwani huko alikokuwa hakuwa na mtu wa kugegedana nae au alikuwa anafanyaje kukudhi haja zake za kimwili mpaka alipokutana na huyo mdada on line na wakaanza mahusianao yao
Na imekuwaje kwa sasa anashindwa kuvumilia mpaka anamlazimisha mdada wa watu kufanya sex online
nafikiri ushauri wako wa mwisho umemaliza yote maana siku hizi kila kitu ni biashara mkuu
 
Last edited by a moderator:
asifanye huyo...amwambie huyo jamaa anayedai kuwa "daktari bingwa majuu" aje achukue kiIST chake kama vp...asilogwe akafanya...what if he makes money through hizo video?
"mapenzi" ya miezi miwili na mtu anakuja kukuona na kukupa IST??? NO FREE LUNCH HELLOOOOOOO
 
mapenzi online? duu hii ni mpya ....mapenzi kwa kutumia kamera bora achukue video ya xxx aangalie tu..
 
Hmm huyo jamaa ni producer wa porn

Awe makini bidada.......atalizwajeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…