Anahitaji kazi

Anahitaji kazi

Edna kahema

Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
33
Reaction score
28
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Nipo kumsaidia mtu mzuri na mwenye bidii kutafuta nafasi ya kazi ya Ugavi (Procurement/Supply Chain).
Iptysam Salum ni mtaalamu aliye tayari kujifunza, kufanya kazi kwa uaminifu na kuongeza thamani popote atakapopata nafasi.

Kama una taarifa, nafasi au unajua mahali panahitaji mtu wa ugavi, tafadhali usisite kumtafuta

Jina: Iptysam Salum
Mawasiliano: 0777 074 028

Asanteni sana kwa moyo wenu wa kusaidia. Ujumbe huu unaweza kuwa mwanzo wa fursa mpya kwake.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu.

Nipo kumsaidia mtu mzuri na mwenye bidii kutafuta nafasi ya kazi ya Ugavi (Procurement/Supply Chain).
Iptysam Salum ni mtaalamu aliye tayari kujifunza, kufanya kazi kwa uaminifu na kuongeza thamani popote atakapopata nafasi.

Kama una taarifa, nafasi au unajua mahali panahitaji mtu wa ugavi, tafadhali usisite kumtafuta

Jina: Iptysam Salum
Mawasiliano: 0777 074 028

Asanteni sana kwa moyo wenu wa kusaidia. Ujumbe huu unaweza kuwa mwanzo wa fursa mpya kwake.
Jinsia yake tafadhali.
 
We are hiring for:

PROCUREMENT OFFICER at Mafinga, Tanzania

i. Must be a lady.
ii. Age between 25 - 30 years old.
iii. Ability to use computer and Computer softwares.
iv. A fast learner, with ability to multitask.
v. A Bachelor Degree holder in any field.
vi. Experience in procurement.

All CV Must be sent to: lushchanzo25@zurkt.com on or before 30/12/2025.
 
We are hiring for:

PROCUREMENT OFFICER at Mafinga, Tanzania

i. Must be a lady.
ii. Age between 25 - 30 years old.
iii. Ability to use computer and Computer softwares.
iv. A fast learner, with ability to multitask.
v. A Bachelor Degree holder in any field.
vi. Experience in procurement.

All CV Must be sent to: lushchanzo25@zurkt.com on or before 30/12/2025.
Good morning
 
Utamu wake vipi unaliwa au anaubania uliwe na nyenyere.
 
URGENT VACANCIES

1. Human Resources manager (1 Position)
2. Logistic Manager( 1 position)

Location: Dar es salaam
Salary: Negotiable

Qualifications:
  • Bachelor’s Degree in Human Resources or a related field.
  • Bachelor degree in business administration
  • Bachelor degree in procurement and Supply, Chain Management or related field.
  • At least 3 years of experience in both posts.
  • Good communication skills
.Honest with high integrity
How to Apply:
Send your CV to gsems.seifigroup@gmail.com
Deadline for this application: 20th January 2026
Contact numbers for more information
0656200241
 
T VACANCIES

1. Human Resources manager (1 Position)
2. Logistic Manager( 1 position)

Location: Dar es salaam
Salary: Negotiable

Qualifications:
  • Bachelor’s Degree in Human Resources or a related field.
  • Bachelor degree in business administration
  • Bachelor degree in procurement and Supply, Chain Management or related field.
  • At least 3 years of experience in both posts.
  • Good communication skills
.Honest with high integrity
How to Apply:
Send your CV to gsems.seifigroup@gmail.com
Deadline for this application: 20th January 2026
Contact numbers for more information
0656200241
Madam habari yako,

Hujapata linalohusu account na finance,

Ukipata share nasi,

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Back
Top Bottom