Hii nimeikuta mahali, Nadhani wanaweza kufaana.
Habari waungwana.
Nahitaji kijana mmoja wa kazi, umri usiozidi miaka 30, awe anajua kusoma na kuandika, hajaoa, mwaminifu, sio mvivu. Akianza kazi Meals and accommodation ni juu yangu.
Shughuri:
Usimamizi na kuhudumia mifugo, Kuku 1300 na ng'ombe wanne wa maziwa. Hatokua peke yake kwenye shughuri hizo watakua wawili.
Salary ni Tsh 100,000/= na offer tofauti kutegemeana na efficiency yake kazini.
Eneo la Kazi
Masasi mjini, Mkoa wa Mtwara.
Angalizo:-
Asiwe anatokea mikoa ifuatayo Mtwara, Lindi, Tanga.
Lazima awe na udhamini wa watu wawili wa kuaminika.
Kwa mawasiliano +255716002421
Ahsante!