wazawa
Senior Member
- Jan 29, 2013
- 184
- 58
nina miaka 29 nina mpenz kwa miaka 7 sasa tunakaribia kufunga ndoa hivi karibuni.tatizo mpenz wangu n mvivu ktika suala la mapenz sana na amekuwa akihesabu mara tulizofanya mapenz kwa mwezi na kyoba ndio kajitoa sana.huenda ikwa mara tatu au nne tu basi anaona kafanya kitu kikubwa sana na sio kuangalia kiasi gani tumeridhika
hata tukifanya tukienda mzunguko mi tatu siku hiyo ataongea sana kuwa n nyingi sana na hawez kuendelea nayo.m mwenzio nashindwa kutimiza haja xangu n kabiya naona naumia kisaikolojia kwa kukosa kutimiziwa tendo hilo kwa ukamilifu wangu
nampenda sana nasitak kwenda nje ila nakuwa na kiu sana ma yy sio mtimilizi wa haja zangu.tumeongea sana na kumwambia athar zake ila mwishowe kinabaki kuwa vile alivyo.najiona naeleka kybaya je nifanyaje
hata tukifanya tukienda mzunguko mi tatu siku hiyo ataongea sana kuwa n nyingi sana na hawez kuendelea nayo.m mwenzio nashindwa kutimiza haja xangu n kabiya naona naumia kisaikolojia kwa kukosa kutimiziwa tendo hilo kwa ukamilifu wangu
nampenda sana nasitak kwenda nje ila nakuwa na kiu sana ma yy sio mtimilizi wa haja zangu.tumeongea sana na kumwambia athar zake ila mwishowe kinabaki kuwa vile alivyo.najiona naeleka kybaya je nifanyaje