Anaeukumbuka huu wimbo anikumbushe

AlphaMale

JF-Expert Member
Oct 26, 2019
613
1,401
Moja ya lyrics zake ni hizi, zinaimbwa kwa sauti ya kiume "maji yakimwagika hayazoleki, itabidi ukakae ufikiri, yaliyotokea ukiri..", "kuna binadamu wa ajabu.." etc

sasa sijui jina la huu wimbo na msanii alioimba ili niu-search youtube, anaeujua anikumbushe
 
Moja ya lyrics zake ni hizi, zinaimbwa kwa sauti ya kiume "maji yakimwagika hayazoleki, itabidi ukakae ufikiri, yaliyotokea ukiri..", "kuna binadamu wa ajabu.." etc

sasa sijui jina la huu wimbo na msanii alioimba ili niu-search youtube, anaeujua anikumbushe
Bwan chuchuuu.Ni rahisi kuteka maji kwa pakacha kuliko yeye kuniachaa. mama natorokaaa,natorokaaa.Mao Santiago naimbaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom