Moja ya lyrics zake ni hizi, zinaimbwa kwa sauti ya kiume "maji yakimwagika hayazoleki, itabidi ukakae ufikiri, yaliyotokea ukiri..", "kuna binadamu wa ajabu.." etc
sasa sijui jina la huu wimbo na msanii alioimba ili niu-search youtube, anaeujua anikumbushe
sasa sijui jina la huu wimbo na msanii alioimba ili niu-search youtube, anaeujua anikumbushe