Anaetaka shamba Mkuranga tuwasiliane

Anaetaka shamba Mkuranga tuwasiliane

Dith

Member
Joined
Sep 30, 2020
Posts
57
Reaction score
15
Nauza shamba. Shamba lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).

Lina heka 4 zinapelea kidogo.

Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k.

Shamba lina kisima ndani yake kisicho na tanki na mota, shamba safi halina vichaka.
Kilometer 3.5 kutoka barabara ya lami.

Kutoka mbagala mpaka kikungo ni shilingi 1400 kwa usafiri wa daladala, kutoka hapo kikungo stand mpaka shambani kwa bodaboda ni shilingi elfu moja, kwa miguu ni kama dakika 20 au nusu saa itategemea na mtembeaji.

Bei ni shilingi 15M fixed. Kwa mawasiliano namba ni 0769917961 au 0712030252
IMG_20201002_130838_201.jpg
View attachment 1624301
IMG_20201002_144605_832.jpg
 
Nauza shamba. Shamba lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).

Lina heka 4 zinapelea kidogo.

Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k.

Shamba lina kisima ndani yake kisicho na tanki na mota, shamba safi halina vichaka.
Kilometer 3.5 kutoka barabara ya lami.

Kutoka mbagala mpaka kikungo ni shilingi 1400 kwa usafiri wa daladala, kutoka hapo kikungo stand mpaka shambani kwa bodaboda ni shilingi elfu moja, kwa miguu ni kama dakika 20 au nusu saa itategemea na mtembeaji.

Bei ni shilingi 15M fixed. Kwa mawasiliano namba ni 0769917961 au 0712030252View attachment 1624294View attachment 1624296View attachment 1624300View attachment 1624297View attachment 1624298View attachment 1624295View attachment 1624302View attachment 1624301View attachment 1624304
Kwakua ulishaleta uzi kuhusu hilo Shamba ungeendeleza pale pale tu ukasema bado lipo.
 
Nauza shamba. Shamba lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).

Lina heka 4 zinapelea kidogo.

Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k.

Shamba lina kisima ndani yake kisicho na tanki na mota, shamba safi halina vichaka.
Kilometer 3.5 kutoka barabara ya lami.

Kutoka mbagala mpaka kikungo ni shilingi 1400 kwa usafiri wa daladala, kutoka hapo kikungo stand mpaka shambani kwa bodaboda ni shilingi elfu moja, kwa miguu ni kama dakika 20 au nusu saa itategemea na mtembeaji.

Bei ni shilingi 15M fixed. Kwa mawasiliano namba ni 0769917961 au 0712030252View attachment 1624302View attachment 1624301View attachment 1624304
Karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom