Anaetaka dada wa kazi

Anaetaka dada wa kazi

aziraji

Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
57
Reaction score
8
Wana jamii kama kuna mtu anataka dada wa kazi za ndani dukan popote pale aniitumie sms inbox
 
niPM namba yako tuongee biashara unaishi dar sehem gani
 
Wana jamii kama kuna mtu anataka dada wa kazi za ndani dukan popote pale aniitumie sms inbox

weka taarifa kamili mkuu...mf.wanatoka mkoa gani,umri wao,mshahara,commision yako,au unatupa bure?
 
Wana jamii kama kuna mtu anataka dada wa kazi za ndani dukan popote pale aniitumie sms inbox

Ni haramu kufanya biashara ya binadamu. Tafadhari kama unachukua chochote uende ukatubu kwa mchungaji mtikila!
 
Ni haramu kufanya biashara ya binadamu. Tafadhari kama unachukua chochote uende ukatubu kwa mchungaji mtikila!

du!...kwahiyo mkuu na yale makampuni yanayowaunganisha wasaka ajira kwa waajiri nayo yanafanya biashara ya binadamu?
 
Sichukui pesa yoyote jaman hata mia ya mtu kwa anaetaka dada wa kazi za ndani ashapelekwa kabaki wa kazi za nje mfano duka hotel n.k
 
weka taarifa kamili mkuu...mf.wanatoka mkoa gani,umri wao,mshahara,commision yako,au unatupa bure?

Mkuu walikua wa2 mmoja ashapelekwa aliebaki ana miaka 24 kwa sasa yupo dar anatokea kagera
 
WEKA PICHA MKUU,alaf tuambie na specification na bei.specs km anamtoto,umri,kabila,tabia,elim,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom