moreen baby
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 127
- 23
habarini kwa anaepajua mbezi juu naomba anielekeze naenda kwenye usahili wa necta
kituo cha daladala sijui jina lake, ila kama unatokea mwenge unakata kushoto kuelekea st marys international schools mbezi,then kuna majengo utayaona ya ghorofa hapo ndio kuna ofisi za NECTA mbezi juuhabarini kwa anaepajua mbezi juu naomba anielekeze naenda kwenye usahili wa necta
habarini kwa anaepajua mbezi juu naomba anielekeze naenda kwenye usahili wa necta
habarini kwa anaepajua mbezi juu naomba anielekeze naenda kwenye usahili wa necta