Hayo mambo ya vifurushi vya dili ondoa kabisa kichwani kwako. Fika Vodacom upewe A-Z na uwakala wa kusajili line. Ni sawa na kutaka kufanya huduma ya Mpesa wakati ww siyo wakala. Kuna mambo hayahitaji shorcut. Hiyo kitu haiwezekani mpaka uwe wakalaJaman habari naitaji mtu ambae anaweza kunsaidia kujiunga niwe nasajili watu kifurush cha university offer .Mambo ya Hela tutaongea zaidi unaweza ukafanya kucoment au ukanitext tu (0753395920) Nina shida nayo kwa kweeeli
oya embu nipe namba man au piga 0753395920sawa watakusaidia
Tupe elimuIyo Mambo rahisi hata Kama sio wakala... Una unga safi
Itafute elimu...Tupe elimu
Wanaojua ni Vodacom, nenda kwa dealers wao watakusaidiaJaman habari naitaji mtu ambae anaweza kunsaidia kujiunga niwe nasajili watu kifurush cha university offer .Mambo ya Hela tutaongea zaidi unaweza ukafanya kucoment au ukanitext tu (0753395920) Nina shida nayo kwa kweeeli
Kufa nayo Basi Kama mganga wa kienyejiItafute elimu...
Nasubira muda ufike nife nayo...!? Wewe zaliwa nayo...Kufa nayo Basi Kama mganga wa kienyeji