Anaefahamu kuhusu biashara ya uchomeleaji

Anaefahamu kuhusu biashara ya uchomeleaji

Godoro la kioo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
364
Reaction score
735
Salam wanajukwaa. Husika ni kichwa cha habari, Mimi ni kijana mpambanaji na ni muda Sasa nafikiria kuhusu hii biashara ya uchomeleaji.

Ila mpaka Sasa sijajua iko ikoje, naamini hapa jf wapo wazoefu wa hii kazi so nilikuwa naomba mnipe mawili matatu kuhusiana na hii kazi

Nilikuwa naomba mnielekeze vitu vya kuanzia kipi na kipi kinahitajika

Gharama zake je. zikoje

.Natanguliza shukran karibu .
 
Nadhani vifaa unahitaji welding machine,grinder,drill na extension cable.Nadhani hivyo ndiyo vitu muhimu kwenye mradi wako.
 
Kitu kikubwa utakachohitaji kabla ya yote ni ujuzi wa welding angalau basics zake.
 
Back
Top Bottom