Anadai yu mrembo sana!

Sware

Member
Dec 12, 2010
88
11
kuna mdada ambae ana boy friend nje ya nchi kikazi na anatoka na mdada mwingine huku ambae nae ni girl friend wake wamekua katika relationship na huyu mdada wa huku kwa miaka mi4 sasa yaani tokea wakiwa huko Tz,tatizo linakuja huyo mdada wa Dar anajishebedua sana kuhusu bwanake sasa mm namwonea huruma mana kaweka status hii facebook leo
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." Nimsaidiaje?mana huyu bwana kafa kaoza kwa huyu mdada wa huku,je nimwambie ukweli??mana wote ni marafiki zangu na namwonea huruma mana anajichoresha!!Nawakilisha!
 
Acha umbea.....status za watu FB zinakuhusu nini??Kama hajakuomba ushauri achana na mambo ya watu!
 
Lizzy dadangu sio umbea namwonea huruma coz najua kinachoendelea hapa naomba ushauri je nimwambie ajue ukweli au??
Acha umbea.....status za watu FB zinakuhusu nini??Kama hajakuomba ushauri achana na mambo ya watu!
 
kama ni mtu wa kujishebedua usimwambie.....asije akakuletea za kuleta.....angekuwa mpole ungeweza umwambie na atumie busara kuujua ukweli na kuendelea na maisha......!!!! ila pia kama ni rafiki zako wote,waweza anza na huyo uliye nae karibu na unayejua ana uhusiano na mtu mwingine kwa kumwambia asimuweke dada wa watu akimsubiri while hana mpango nae.....yeye aamue kusuka ama kunyoa......!!!:washing:
 
Hiyo status nimeipenda.
Dada ana confidence sana.
Nimempenda na yeye mwenyewe.
 
Thanx Michelle nachukua ushauri wako ntafanya hivyo halafu ntarudi na jibu ila mmh kazi ipo hapa,huku nasikia mpaka kulia, mdada coz anajiona ni mrembo basi anahisi bwanake hawezi kutongoza mwanamke mwingine duniani!!
kama ni mtu wa kujishebedua usimwambie.....asije akakuletea za kuleta.....angekuwa mpole ungeweza umwambie na atumie busara kuujua ukweli na kuendelea na maisha......!!!! ila pia kama ni rafiki zako wote,waweza anza na huyo uliye nae karibu na unayejua ana uhusiano na mtu mwingine kwa kumwambia asimuweke dada wa watu akimsubiri while hana mpango nae.....yeye aamue kusuka ama kunyoa......!!!:washing:
 
dah! cjui kusoma ndio cjui au vp!! mana cjaelewa kabisa .....any wayz we ungeomba ushauri huko huko fb.
 
Hiyo status nimeipenda.
Dada ana confidence sana.
Nimempenda na yeye mwenyewe.

Confidence wakati unajichoresha mamii?4 good years huyu mkaka yupo na huyu mdada mwingine??na almost marafiki zake wa huyu mkaka na ndugu wanamjua huyu mdada wa huku sema coz ya mashauzi yake huyo mdada wa Dar wanashindwa kumwambia ukweli!!
 
kuna blog moja ukiiweka huko kuna kila aina ya ushauri mzuri na mbaya maana naamini wachangiaji wake wengi ni washinda fb:lol:
 
Ipi hiyo naomba niambie wangu!7557]kuna blog moja ukiiweka huko kuna kila aina ya ushauri mzuri na mbaya maana naamini wachangiaji wake wengi ni washinda fb:lol:[/QUOTE]
 
Confidence wakati unajichoresha mamii?4 good years huyu mkaka yupo na huyu mdada mwingine??na almost marafiki zake wa huyu mkaka na ndugu wanamjua huyu mdada wa huku sema coz ya mashauzi yake huyo mdada wa Dar wanashindwa kumwambia ukweli!!

anajichoresha kwa nani sasa?
Huyo dada haishi kwa kuogopa watu ndio maana hana wasiwasi.
Nyie ndio mnaopoteza muda kumchora wakati mwenzenu hana tym na nyie. Anafanya mambo yake anavyojua.
 
Thanx Michelle nachukua ushauri wako ntafanya hivyo halafu ntarudi na jibu ila mmh kazi ipo hapa,huku nasikia mpaka kulia, mdada coz anajiona ni mrembo basi anahisi bwanake hawezi kutongoza mwanamke mwingine duniani!!

ataumia sana,manake si wenye sura mbaya ndo tunawekwa ndani.....hatusumbuliwi sana na tukipendwa tunapendeka na kushkilia haswa...l.o.l
 
ataumia sana,manake si wenye sura mbaya ndo tunawekwa ndani.....hatusumbuliwi sana na tukipendwa tunapendeka na kushkilia haswa...l.o.l

aisee, dunia ina mambo, kuna ukweli hapo dada Michelle,
za kupotea??
sijaisoma sana michango yako? ni majukumu au ?
 
kuna mdada ambae ana boy friend nje ya nchi kikazi na anatoka na mdada mwingine huku ambae nae ni girl friend wake wamekua katika relationship na huyu mdada wa huku kwa miaka mi4 sasa yaani tokea wakiwa huko Tz,tatizo linakuja huyo mdada wa Dar anajishebedua sana kuhusu bwanake sasa mm namwonea huruma mana kaweka status hii facebook leo
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." Nimsaidiaje?mana huyu bwana kafa kaoza kwa huyu mdada wa huku,je nimwambie ukweli??mana wote ni marafiki zangu na namwonea huruma mana anajichoresha!!Nawakilisha!

Ingawa sijaelewa hii mada pamoja na kujitahidi kote.. ningependa kujua JINSIA yako (me/ke)?
 
Lizzy dadangu sio umbea namwonea huruma coz najua kinachoendelea hapa naomba ushauri je nimwambie ajue ukweli au??

kuna mdada ambae ana boy friend nje ya nchi kikazi na anatoka na mdada mwingine huku ambae nae ni girl friend wake wamekua katika relationship na huyu mdada wa huku kwa miaka mi4 sasa yaani tokea wakiwa huko Tz,tatizo linakuja huyo mdada wa Dar anajishebedua sana kuhusu bwanake sasa mm namwonea huruma mana kaweka status hii facebook leo
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." Nimsaidiaje?mana huyu bwana kafa kaoza kwa huyu mdada wa huku,je nimwambie ukweli??mana wote ni marafiki zangu na namwonea huruma mana anajichoresha!!Nawakilisha!

Red and bolded ndo umbea nnaongelea!Kama kaandika yeye hayo maneno ina maana anajua kwamba kuna mwenzake na ndiye anaempiga madongo kwamba ni mmbaya!!!
Narudia tena...acha umbea!!!Status za Facebook na zibaki Facebook!!!
 
aisee, dunia ina mambo, kuna ukweli hapo dada Michelle,
za kupotea??
sijaisoma sana michango yako? ni majukumu au ?

dunia ina mabo kweli kweli mpendwa.....vipi utapumzika lini maombi tuzungumze jamani?
nipo tele,majukumu na kuchoka kunanifanya nisiwe kama zamani lakini nipo sana Mpendwa!
natumai u mzima!
 
dunia ina mabo kweli kweli mpendwa.....vipi utapumzika lini maombi tuzungumze jamani?
nipo tele,majukumu na kuchoka kunanifanya nisiwe kama zamani lakini nipo sana Mpendwa!
natumai u mzima!

dunia duara.. hapo nipo kwenye maombi yako...lol,
nafikiri nitaendelea kufanya maombi tena ili tujue nini cha kuzungumza..
pole na majukumu, sijui ni majukumu gani?
..mie mzima
 
Red and bolded ndo umbea nnaongelea!Kama kaandika yeye hayo maneno ina maana anajua kwamba kuna mwenzake na ndiye anaempiga madongo kwamba ni mmbaya!!!
Narudia tena...acha umbea!!!Status za Facebook na zibaki Facebook!!!

Lizzy, taratibu..mwenzio anaona huruma
 
dunia duara.. hapo nipo kwenye maombi yako...lol,
nafikiri nitaendelea kufanya maombi tena ili tujue nini cha kuzungumza..
pole na majukumu, sijui ni majukumu gani?
..mie mzima

nisikusumbue jamani uendelee na maombi.....
ukishajibiwa mimi na wewe tuzungumze nini naomba uni PM
kwasasa naaanda jimbo kwa ajili ya 2015,ndo majukumu yangu...!gd9t!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom