Sware
Member
- Dec 12, 2010
- 88
- 11
kuna mdada ambae ana boy friend nje ya nchi kikazi na anatoka na mdada mwingine huku ambae nae ni girl friend wake wamekua katika relationship na huyu mdada wa huku kwa miaka mi4 sasa yaani tokea wakiwa huko Tz,tatizo linakuja huyo mdada wa Dar anajishebedua sana kuhusu bwanake sasa mm namwonea huruma mana kaweka status hii facebook leo
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." Nimsaidiaje?mana huyu bwana kafa kaoza kwa huyu mdada wa huku,je nimwambie ukweli??mana wote ni marafiki zangu na namwonea huruma mana anajichoresha!!Nawakilisha!
"kuna mawili hapa; either ulimtongoza, au na yeye he want 2 try wanawake wabaya wakoje coz ama beautiful to a greater extent....." Nimsaidiaje?mana huyu bwana kafa kaoza kwa huyu mdada wa huku,je nimwambie ukweli??mana wote ni marafiki zangu na namwonea huruma mana anajichoresha!!Nawakilisha!