tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,852
CCM imekuwa ikiongozwa kwa mifumo ya mitandao ya watu. Na ni mitandao hiyo hiyo imekuwa ikiwezesha ushindi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, madiwani na hata ule wa Mitaa.
Kitendo cha Rais Magufuli kuamua kupambana na rushwa na Ufisadi a.k.a kutumbua majipu, kunaua mtandao uliojiotea mizizi ndani ya CCM. Na kwa hakika ni kujiua kwa mikakati ovu ya uchakachuaji wa matokeo ya chaguzi mbali mbali nchini ulioasisiwa na CCM.
Endelea hivyo hivyo Rais Magufuli ili 2020, Uchaguzi Mkuu uwe huru na haki, usioendekeza rushwa na Ufisadi wa wana mtandao wa CCM. Na ushindi halali wa Rais, Wabunge na Madiwani upatikane.
CCM is killing itself a.k.a Suicide a.k.a inajiua yenyewe.
"Upinzani wa Kweli utatoka ndani ya CCM" JK Nyerere. Yametimia.
Sijui naeleweka?
Nawasilisha.
Kitendo cha Rais Magufuli kuamua kupambana na rushwa na Ufisadi a.k.a kutumbua majipu, kunaua mtandao uliojiotea mizizi ndani ya CCM. Na kwa hakika ni kujiua kwa mikakati ovu ya uchakachuaji wa matokeo ya chaguzi mbali mbali nchini ulioasisiwa na CCM.
Endelea hivyo hivyo Rais Magufuli ili 2020, Uchaguzi Mkuu uwe huru na haki, usioendekeza rushwa na Ufisadi wa wana mtandao wa CCM. Na ushindi halali wa Rais, Wabunge na Madiwani upatikane.
CCM is killing itself a.k.a Suicide a.k.a inajiua yenyewe.
"Upinzani wa Kweli utatoka ndani ya CCM" JK Nyerere. Yametimia.
Sijui naeleweka?
Nawasilisha.